Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unastahili ungekuwa kuzimu muda huu, mngeelewana na wafu waliokufa lkn wewe u mfu unaishi katikati ya uhai.Usijibu kama hujaelewa swali
kwani ukijua tofauti ya mwanamke na mwanaume ndio ccm itatoka madarakani?Alafu kwa mawazo haya utegemee CCM itoke madarakani kweli
-AkiliSwali limejieleza hapo juu! Katika tittle..
×××
Mimi mpaka leo sijui kwanini wanaume wana matiti
Yani mkuu hii dunia imechanganyikiwa si kidogo... Jana nilikuwa antazama mjadara wa wanaopinga haya masuala ya gender assignment dhidi ya wale wanaotaka mtu ajiamulie anataka kuwa jinsia gani, wakiwa wanawasilisha hoja zao kwenye senate ya marekani, aisee watu wako dellusional.kwasasa, hizi ndo nyuzi zinazopendwa na mods🥲
elezea na ile homon ya kikeTestosterone hormone ndo huwa inatutofautisha yaani wakati binadamu akiwa embryo huwa kuna mfanano lakni kinachokuja kuleta tofauti ni uwepo wa testosterone ambayo huwa inahusika na kutengeneza viungo mbalimbali vya wanaume hasa mfumo wa uzazi, wanawake huwa hawana hii hormone.
Lakini mfumo wa hormone huwa unamakosa japo ni nadra hasa Yale ambayo yanatokana na hormone fulani kuwa nyingi au ndogo ndio maana kuna sifa zimezoeleka kwny jinsia fulani lakini unaweza kuziona kwenye jinsia nyingine kama wanaume kuwa na maziwa au wanawake kuwa na ndevu
sio kigezo kivipi wakati watu wanazaliwa?Kwa dunia ya sasa, jinsia sio kigezo
kwa hiyo ukiwa uchi ndio watu wanajua jinsia yako?Uchi
Anaebadili jinsia tunamuweka kundi gani?sio kigezo kivipi wakati watu wanazaliwa?
Jamaa kauliza swali la chekekeakwani ukijua tofauti ya mwanamke na mwanaume ndio ccm itatoka madarakani?
wale wanaitwa trans gender, siku hizi wanaandaliwa na selo zao kabisa wakifungwa wakae kivyao huko. Kumbuka kuna wale wenye jinsia mbili nao wako kundi hili. Sijui kwa nini magereza huwavua nguo wageni, huwa wanataka kuona jinsia zao au kuwapekua kama wameingia na vitu visivyotakiwa jela? Inakuwaje mtu kaingizwa selo ya wanawake au wanaume kumbe anazo jinsia mbili, si itakuwa wameona uchi wa mwanamke/mwanaume isivyostahili hao maaskari?Anaebadili jinsia tunamuweka kundi gani?
kwa bahati mbaya, utafika wakati tutashindwa kuzuia huu upuuzi...hiki kizazi ni cha namna yake🥲Yani mkuu hii dunia imechanganyikiwa si kidogo... Jana nilikuwa antazama mjadara wa wanaopinga haya masuala ya gender assignment dhidi ya wale wanaotaka mtu ajiamulie anataka kuwa jinsia gani, wakiwa wanawasilisha hoja zao kwenye senate ya marekani, aisee watu wako dellusional.
Ila nilichogundua watu wengi wako against haya masuala na ni mojawapo ya kitu kilichofanya watu wengi waipigie kura republican dhidi ya democratic kutokana na sera yao ya kutaka eti watoto wadogo tu wajiamulie gender wakiwa shuleni, watoto ambao ni chini ya miaka 18. Tena wanawaanzishia matibabu ya kusupport gender walioichagua ikiwa ni pamoja na surgery.
Hili swali limekaa kimtego-mtego zaidi. Tega nikutege.Swali limejieleza hapo juu! Katika tittle..
×××
Mimi mpaka leo sijui kwanini wanaume wana matiti