Fibanochi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 476
- 1,018
Habari za majukumu mabibi na mabwana!
Katika harakati hizi za maisha watu hupitia mengi sana, Kuna kipindi pesa inakubali, Kuna kipindi unachapika mpaka unajuta kuzaliwa. Anyways twende kwenye jambo la msingi, hivi ulisukumwa na na nini mpaka kufikia uamuzi wa kujenga nyumba unayoishi? Ni dhahiri kabisa kwa walio wengi watakwambia walichoka na usumbufu wa ma baba na mama wenye nyumba zao.
Binafsi nimepanga kwa miaka lukuki na nimekuwa nilibadilisha maeneo mengi jijini, nimeishi Sinza, Magomeni, K'nyama, Ilala na Kinyerezi. Kwasasa ndiyo nimeanza ujenzi na nipo katika hatua ya kupaua, ni nyumba yangu ya kwanza.
Kitu kilichonisukuma kufanya ujenzi ukiondoa adha za wenye nyumba, ni kile kipindi nazunguka na madalali kuangalia nyumba, alafu unakuta nyumba miyeyusho tu au ya kawaida tu kisha kodi kuuubwa, unakuta unajiuuliza hivi me nikiamua kujipinda kweli siwezi jenga nyumba kama hii au zaidi ya hii kweli? Lakini kingine ni ile hali ya kutaka kukaa sehemu nzr, kupata amani ya moyo na kufanya mpangilio wa kila unachotaka.
Embu share nasi, ulisukumwa na nini kujenga nyumba yako ya kwanza ya kuishi?
Katika harakati hizi za maisha watu hupitia mengi sana, Kuna kipindi pesa inakubali, Kuna kipindi unachapika mpaka unajuta kuzaliwa. Anyways twende kwenye jambo la msingi, hivi ulisukumwa na na nini mpaka kufikia uamuzi wa kujenga nyumba unayoishi? Ni dhahiri kabisa kwa walio wengi watakwambia walichoka na usumbufu wa ma baba na mama wenye nyumba zao.
Binafsi nimepanga kwa miaka lukuki na nimekuwa nilibadilisha maeneo mengi jijini, nimeishi Sinza, Magomeni, K'nyama, Ilala na Kinyerezi. Kwasasa ndiyo nimeanza ujenzi na nipo katika hatua ya kupaua, ni nyumba yangu ya kwanza.
Kitu kilichonisukuma kufanya ujenzi ukiondoa adha za wenye nyumba, ni kile kipindi nazunguka na madalali kuangalia nyumba, alafu unakuta nyumba miyeyusho tu au ya kawaida tu kisha kodi kuuubwa, unakuta unajiuuliza hivi me nikiamua kujipinda kweli siwezi jenga nyumba kama hii au zaidi ya hii kweli? Lakini kingine ni ile hali ya kutaka kukaa sehemu nzr, kupata amani ya moyo na kufanya mpangilio wa kila unachotaka.
Embu share nasi, ulisukumwa na nini kujenga nyumba yako ya kwanza ya kuishi?