Ni kitu gani kimekusukuma kufanya ujenzi?

Ni kitu gani kimekusukuma kufanya ujenzi?

Kuna umri ukifika kwa jamii kupanga inaonekana ni kituko.
Hii ni kweli, alafu huo umri ukifika kama hujawa na kwako ndio unakuta vijeba kibao vinakaa mbali na mji sababu hawafananii kupanga kwa umri wao. Hivyo wakipanga wanaenda mbali na mji huko mlima CCM.
 
Nyumba za kupanga ni kero sana ,nina mwaka wa 6 sasa napanga ,kwanza unajikuta unalipia wenzako wenye familia kubwa kodi za maji,mara mlinzi sijui na ikifika mda wa kulipa kodi duu majanga hakuna kusevu huo mwezi

Sasa nimeamua kujenga nipo kwenye kutafuta kibali cha ujenzi ,Mungu akijalia mwez wa 10 naanza ujenzi[emoji120]
 
Nyumba za kupanga ni kero sana ,nina mwaka wa 6 sasa napanga ,kwanza unajikuta unalipia wenzako wenye familia kubwa kodi za maji,mara mlinzi sijui na ikifika mda wa kulipa kodi duu majanga hakuna kusevu huo mwezi

Sasa nimeamua kujenga nipo kwenye kutafuta kibali cha ujenzi ,Mungu akijalia mwez wa 10 naanza ujenzi[emoji120]
Hongera kwa hatua nzuri uliyofikisha.naomba kujua kibali cha ujenzi huhitajika kwa nyumba yenye ukubwa gan,au ni haijalishi ukubwa wa nyumba kibali lazima kiwepo?
Pia vip kuhusu gharama za kibali cha ujenzi.
 
Kama kiwanja chako kimepimwa basi huwezi jenga bila kupata Kibali toka ofisi ya ardhi wilayani kwako, na siku hizi naona Kuna baadhi ya maeneo hata viwanja vya squatter wanataka ujenge kwa kibali.
Hongera kwa hatua nzuri uliyofikisha.naomba kujua kibali cha ujenzi huhitajika kwa nyumba yenye ukubwa gan,au ni haijalishi ukubwa wa nyumba kibali lazima kiwepo?
Pia vip kuhusu gharama za kibali cha ujenzi.
 
Kama kiwanja chako kimepimwa basi huwezi jenga bila kupata Kibali toka ofisi ya ardhi wilayani kwako, na siku hizi naona Kuna baadhi ya maeneo hata viwanja vya squatter wanataka ujenge kwa kibali.
Changu bado hakijapimwa
 
Nyumba za kupanga ni kero sana ,nina mwaka wa 6 sasa napanga ,kwanza unajikuta unalipia wenzako wenye familia kubwa kodi za maji,mara mlinzi sijui na ikifika mda wa kulipa kodi duu majanga hakuna kusevu huo mwezi

Sasa nimeamua kujenga nipo kwenye kutafuta kibali cha ujenzi ,Mungu akijalia mwez wa 10 naanza ujenzi[emoji120]

Mungu akuongoze ndugu yangu ufanikishe lengo lako. Na ukianza tu utaona vile nyumba itakavyoenda chap
 
Hongera kwa hatua nzuri uliyofikisha.naomba kujua kibali cha ujenzi huhitajika kwa nyumba yenye ukubwa gan,au ni haijalishi ukubwa wa nyumba kibali lazima kiwepo?
Pia vip kuhusu gharama za kibali cha ujenzi.

Haijalishi ukubwa wa nyumba yeyote,cha msingi uwe na ramani copy 2 ,na nyaraka za umiliki hati au ofa ,garama zinategemea na mkoa uliopo
 
Ndiyo mkuu, unakuta unapanga kwenye nyumba shimo la choo linajaa kila baada ya week mbili, kila likijaa unatakiwa utoe laki ya kunyonya. Au unapanga nyumba unakuta mwenye nyumba anawapangia muda wa kurudi usiku anakwambia mwisho saa tano usiku ukichelewa tu geti limefungwa na Kuna mbwa koko.

Au unapanga nyumba inakuwa kama jini kwa kula umeme, na ukimwambia mwenye nyumba hana time. Nyingine unakuta Kuna room ya self ila choo cha kusquat na kimejaa, ukisaidia lazima uwe na ndoo 3 za kusukumia nyaaaa ha ha ha....tabu sana
[emoji16][emoji16]
Nyumba za sehemu gani hizo hapa mjini unapangiwa muda wa kurudi?
 
Nyumba za sehemu gani hizo hapa mjini unapangiwa muda wa kurudi?
Zipo aisee, kama unaendelea kupanga utakutana nazo, unaambiwa kabisa geti linafungwa muda fln, ukifika muda huo geti linafungwa na wanafungulia mbwa, sasa wewe endelea kula bata ukirudi utalala nje. Unashangaa hiyo, Kuna sehemu zingine ukienda kupanga unaulizwa kama una watoto, kama unao hakupangishi.

Yaani mwenye nyumba anatafuta mpangaji wa nyumba ya rooms tatu ambayo obvious ni family house, ila anakwambia hataki watoto, unabaki [emoji2377].
 
Zipo aisee, kama unaendelea kupanga utakutana nazo, unaambiwa kabisa geti linafungwa muda fln, ukifika muda huo geti linafungwa na wanafungulia mbwa, sasa wewe endelea kula bata ukirudi utalala nje. Unashangaa hiyo, Kuna sehemu zingine ukienda kupanga unaulizwa kama una watoto, kama unao hakupangishi.

Yaani mwenye nyumba anatafuta mpangaji wa nyumba ya rooms tatu ambayo obvious ni family house, ila anakwambia hataki watoto, unabaki [emoji2377].
Uliuliza kwanini hawapendi mwenye watoto?!
 
Uliuliza kwanini hawapendi mwenye watoto?!
Sikuona umuhimu wa kumuuliza, zaidi ya kuondoka, zangu sababu hakuna sababu yyt itakayoleta mantiki ya kumzuia mtu asikae na watoto kwenye nyumba yako ilhali unajua kabisa nyumba ya vyumba 3 ni adimu sana kuishi bachela.
 
Sikuona umuhimu wa kumuuliza, zaidi ya kuondoka, zangu sababu hakuna sababu yyt itakayoleta mantiki ya kumzuia mtu asikae na watoto kwenye nyumba yako ilhali unajua kabisa nyumba ya vyumba 3 ni adimu sana kuishi bachela.
Hakuna sababu itakayoleta mantiki kwako, ungemuuliza ujue sababu yake inaweza kuwa na mantiki kwake.
 
Kuzaliwa bongo .....ni degree ya kwanza.......kuishi nyumba za kupanga ni degree ya pili
 
Mke wangu ana gubu, na dharau,anatunishiana misuli na wenye nyumba,yaani kila nyumba tukipanga ile kodi ya kuigilia ndio huwa ya mwisho.

Tukaona tujenge ya kwetu/ zetu.sasa hivi nae ni land lord na upole umekuja ghafla.
Nae eti anachukia wapangaji wakorofi.
Usikute umeoa MMACHAME!
 
Hakuna sababu itakayoleta mantiki kwako, ungemuuliza ujue sababu yake inaweza kuwa na mantiki kwake.
Ni vyema basi angeishi yeye mwenyewe basi kuepusha hiyo kadhia, wanasemaga "you can not have an omelet without breaking an egg" ilitakiwa achague moja akae mwenyewe au apangishe apate pesa huku aki deal na matokeo ya yeye kupangisha, ni rahisi kiasi hicho.

Ukiruhusu masharti ya kishenzi kama hayo kwa mwenye nyumba utaruhusu mambo ya kijinga zaidi, kumbuka mpangaji nae ana rights zake, ukiendelea Kum entertain mtu wa namna hy atakupangia hata gari ya kununua. Atakwambia usinunue prado itaumiza paving blocks zake.
 
Back
Top Bottom