Kwenye maisha kuna vipindi vigumu tunapitia kama wanadamu mpaka unakaribia kukata tamaa kama sio kukata tamaa kabisa
Ila ukifikiria familia yako,Hali yako ya maisha,manyanyaso na fedhea unazopitia unasema hapana,lazma ninyanyuke tena kwaajili ya kufanikisha malengo yangu.
Je we ni kipi kinakufanya urudi tena kwenye mapambano ya maisha???
Ila ukifikiria familia yako,Hali yako ya maisha,manyanyaso na fedhea unazopitia unasema hapana,lazma ninyanyuke tena kwaajili ya kufanikisha malengo yangu.
Je we ni kipi kinakufanya urudi tena kwenye mapambano ya maisha???