Ni kitu Gani kinachokurudisha kwenye mapambano ya maisha unapokaribia kukata tamaa???


Pride
 
nikifikiliaga tu nililetwa duniani bila hiali yangu acha kikombe changu ni kinywe hakuna anayeweza badilisha maisha yangu bali ni mimi tu ,napata nguvu nakuendeleza mapambano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…