Ni kitu gani kinafichwa sana kwenye maisha ya wasanii wa bongo unachoamini kwa asilimia 100 kipo?

Ni kitu gani kinafichwa sana kwenye maisha ya wasanii wa bongo unachoamini kwa asilimia 100 kipo?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kwa mtazamo wangu hivi ni vitu navyoamini vinawekwa siri lakini vipo.

Kala Pina alikuwa anamgwaya Dudu baya

Mr Nice hakufulia kabisa, Bado pesa anazo si haba za kustaafia muziki

Nusu ya wasanii wanavuta weed

Wasanii wengi wa bongo wanaishi kwa pesa za mishe nyingine, ni wachache sana wanaweza kuishi kwa pesa za muziki.
 
Kuliwa tigo na matajiri ili wapewe vitu vya kuvimbia mjini kama apartments na ndinga kali.

Kwa macho yangu nilimuona anaesadikika kuwa msanii mkubwa wa kibongo wa kiume akitoka kubokolewa na muarabu hotelini. Ithibati ya kutoka kubokolewa kwake niliipata toka kwa mtu wa usafi wa hotel hiyo hiyo baada ya kukuta mashonde kwenye shuka kuashiria jamaa alipelekewa moto mpaka kujitolea haja.

Sasa hivi jamaa anaendesha zake Range safiii kwa msaada wa kalio lake.

Na asilimia kubwa wasanii wanaojifanya watu wa mademu sana ndio wanaobokolewa zaidi na wenye pesa. Usanii bongo ni maumivu tu. Hapo hujaangalia wasanii wa kike nao, wanapelekewa moto mpaka nyuchi zinaota sugu.
 
Kuliwa tigo na matajiri ili wapewe vitu vya kuvimbia mjini kama apartments na ndinga kali.

Kwa macho yangu nilimuona anaesadikika kuwa msanii mkubwa wa kibongo wa kiume akitoka kubokolewa na muarabu hotelini. Ithibati ya kutoka kubokolewa kwake niliipata toka kwa mtu wa usafi wa hotel hiyo hiyo baada ya kukuta mashonde kwenye shuka kuashiria jamaa alipelekewa moto mpaka kujitolea haja.

Sasa hivi jamaa anaendesha zake Range safiii kwa msaada wa kalio lake.

Na asilimia kubwa wasanii wanaojifanya watu mademu sana ndio wanaobokolewa zaidi na wenye pesa. Usanii bongo ni maumivu tu. Hapo hujaangalia wasanii wa kike nao, wanapelekewa moto mpaka nyuchi zinaota sugu.
Duh!,watoto wa watu wanateseka sana
 
Kwa mtazamo wangu hivi ni vitu navyoamini vinawekwa siri lakini vipo.

Kala Pina alikuwa anamgwaya Dudu baya

Mr Nice hakufulia kabisa, Bado pesa anazo si haba za kustaafia muziki

Nusu ya wasanii wanavuta weed

Wasanii wengi wa bongo wanaishi kwa pesa za mishe nyingine, ni wachache sana wanaweza kuishi kwa pesa za muziki.
WENGI NI MASKINI ILA VIDEONI NA ONLINE MATAJIRI NA WENGI WAJINGA . DUDU BAYA NI KATI YA WASANII WENYE IQ KUBWA SANA HAPA TANZANIA ILA WATU WENGI HUMUONA KAMA MLEVI. NAPENDA SANA ANAVYOCHAMBUAGA VITU MBALI MBALI
 
WENGI NI MASKINI ILA VIDEONI NA ONLINE MATAJIRI NA WENGI WAJINGA . DUDU BAYA NI KATI YA WASANII WENYE IQ KUBWA SANA HAPA TANZANIA ILA WATU WENGI HUMUONA KAMA MLEVI. NAPENDA SANA ANAVYOCHAMBUAGA VITU MBALI MBALI


Dudu baya hayuko sawa.
 
Ngoja nifuatilie comments hapa kuhusu hawa wasanii wa huko Daslamu.
 
Kwa mtazamo wangu hivi ni vitu navyoamini vinawekwa siri lakini vipo.

Kala Pina alikuwa anamgwaya Dudu baya

Mr Nice hakufulia kabisa, Bado pesa anazo si haba za kustaafia muziki

Nusu ya wasanii wanavuta weed

Wasanii wengi wa bongo wanaishi kwa pesa za mishe nyingine, ni wachache sana wanaweza kuishi kwa pesa za muziki.
Madeni na mikopo isiyolipika
 
Back
Top Bottom