Halaf wananukia wote vizuriSa Si Ndioo...!!'😅😅😅
Hapo ujue ushavamia UN ukiwa ndani ya nchi yako 😂😂😂Restaurant muhudumu anajua lugha nne tuka nduki kimbia
Acha tuu Mamii,,Dunia Ina MamboHalaf wananukia wote vizuri
Mmakonde akija kwangu tunabonga kiswahili meza ya jirani nasikia komasava kama zoteHapo ujue ushavamia UN ukiwa ndani ya nchi yako 😂😂😂
Hyatt mbona Buffee ni Jiwe tu hakuna maajabu.Kuna restaurant niliwahi kwenda Masaki kufika tu mnafunguliwa mlango na mzigo mnapokewa nikajiambia tu bora nilibeba kadi yangu ya benki ingekuwa fedhea 😂
Pale Hyatt ni hoteli lakin wanakufungulia hadi mlango wa gari.
Mdau wewe Ni kitu gani ukikikuta kwenye mgahawa unajua bei lazima itakutoa jasho??
rangi iko na shida gani?Nikiona wazungu,wachina au wahindi wapo najua fika hapa sio pa kitoto.