Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiIle ukiingia Restaurant unafunguliwa mlango.....
Unavutiwa kiti....
Hujamaliza kushangaa....unaletewa menu upitie....
Unaagiza....
Ukiona Muhudumu amesimama karibu na maeneo ulipokaa........Kimbia
Sio kumepambazukaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukishaanza kuona menu ina vitu km hivi
Blue frog
Long Island
Sex on the beach
Margarita
Mojito
Cosmopolitan
Ocean blue
Blue lagoon
Ujue kumekucha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mahala downtown niliagiza kahawa,wanatengeneza nawaona,. wakaleta style hizi,bill imeletwa kwenye kitabu cheusi,.nilienda kulilia home..nilisonya njia nzima.. binti kiziwi ,ungekuja kunigomboa??Ukifika restaurant ukaagiza chakula wanakuambia wanakwenda kukitengeneza dakika arobaini, halafu bill inaletwa kwenye hard cover Kama ya kitabu. Jiandae na wekundu wa kutosha.
Boss,Mimi nitaiba hiyo tablet..1. Mnaletewa Cold/hot hand towels.
2. Menu iko kwenye applications, unaletewa sijui tablet sijui nini unatouch touch.
3. Angalia paintings za kwenye wall zinaongea kitu.
Menu yangu pendwa ya seafood najua itaanzia 90k 😀
Utakuwa hupati mchumba mzuri kama SS, kwa kuendekeza tabia za wizi 😀Boss,Mimi nitaiba hiyo tablet..
Always always! isipokuwa mwezi huu especially wiki hii sitaweza kukugomboa popote, utaosha vyombo utie akili, uache umelo 🤣Kuna mahala downtown niliagiza kahawa,wanatengeneza nawaona,. wakaleta style hizi,bill imeletwa kwenye kitabu cheusi,.nilienda kulilia home..nilisonya njia nzima.. binti kiziwi ,ungekuja kunigomboa??
Utakuwa hupati mchumba mzuri kama SS, kwa kuendekeza tabi
Haha Hujaona mfano mwingine Hadi umtolee mke wa mtu??Utakuwa hupati mchumba mzuri kama SS, kwa kuendekeza tabia za wizi 😀
Haha week hii kweli shobo ziwe za kiasi,nitalala polisi..ila inshallah tutapita bro,Always always! isipokuwa mwezi huu especially wiki hii sitaweza kukugomboa popote, utaosha vyombo utie akili, uache umelo 🤣
Tena kaa kwa utulivu mdogo wangu! “baby sis”Haha week hii kweli shobo ziwe za kiasi,nitalala polisi..ila inshallah tutapita bro,