Ni kitu gani kinasababisha usiku mitandao ya internet inakuwa na spidi ya konokono?

Ni kitu gani kinasababisha usiku mitandao ya internet inakuwa na spidi ya konokono?

HOPEfull

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
1,882
Reaction score
2,313
Habari wataalam.

Nilikuwa nawaza labda ni simu yangu ina shida. Sasa ina maana simu yangu inasumbua usiku tu mchana haisumbui.

Nilisikia pia watu wanasema usiku watumiaji ni wengi sijui traffic inafanyaje sijui inagoma ndio inasababisha hiyo mitandao inakuwa bize..Hilo mi sijui wanajua wenyewe wataalam mi nachotaka ni huduma.

Sasa kama sababu ndio hiyo ya traffic maana yake mitandao ya simu imezidiwa na kama imezidiwa tutaishi hivyo hadi lini.Ikifika usiku basi huduma hamna.

Sasa sijui huko kwako Hali ikoje mi nimeongelea kwangu tu.

Usiku mwema.

 
Mi nauliza hivyo hivyo. Au simu yangu ina matatizo au nini?

Au watu wamewatukana viongozi sasa internet inathibitiwa?

Siku saba sasa hii simu inanisumbua.

You tube, video zote hazifunguki.( Ingawa nashukuru imeniokoa na YouTube hogwash)
 
watu wamekuwa wamelala, mchana ile minara inalemewa na watumiaji na usiku wengi wanakuwa wamezima data
 
Habari wataalam.

Nilikuwa nawaza labda ni simu yangu ina shida.Sasa ina maana simu yangu inasumbua usiku tu mchana haisumbui...

tumieni mitandao muafaka ya simu lakini pia, tumieni vifaa vya kisasa zaidi kunasa mtandao vyema...

mbona Internet iko vizur tu na ina speed zaidi usiku 🐒
 
tumieni mitandao muafaka ya simu lakini pia, tumieni vifaa vya kisasa zaidi kunasa mtandao vyema...

mbona Internet iko vizur tu na ina speed zaidi usiku 🐒
Sasa ina maana watu wa Hali ya chini watulie ivoivo. Au inawezekana simu nyingi za Hali duni ni feki.
 
Nyie wa masimu makubwa ya bei njooni mtupe uzoefu wenu.
 
Sasa ina maana watu wa Hali ya chini watulie ivoivo. Au inawezekana simu nyingi za Hali duni ni feki.
sifahamu,
ila inawezekana pia, mizigo iliyomo ndani ya hizo simu inachochea kufanya utendaji kazi wa simu mathalalani, kwenye application mbalimbali na internet kutatizwa kufanya kazi ipasavyo 🐒

nadhani ni vizuri kukagua mizigo isiyo na umuhimu wala isiyo hitajika kuiondoa au kuipunguzua kwa cm
 
Binafsi usiku ndio naona mtandao unakuwa poa
Yes that true,
kwasabb eneo ulilopo matumizi ya internet yanakua yamepungua, ukilinganisha na mchana katika eneo hilo hilo mnakompiti na kustrugle kupata internet, while usiku compition inakua hakuna kabisa watu wamelala 🐒
 
Porn Viewers, inasomekana 98% ya wamiliki Smartphone usiku huvisit hizo Website. Wanakwaza sana.
 
Habari wataalam.

Nilikuwa nawaza labda ni simu yangu ina shida. Sasa ina maana simu yangu inasumbua usiku tu mchana haisumbui.

Nilisikia pia watu wanasema usiku watumiaji ni wengi sijui traffic inafanyaje sijui inagoma ndio inasababisha hiyo mitandao inakuwa bize..Hilo mi sijui wanajua wenyewe wataalam mi nachotaka ni huduma.

Sasa kama sababu ndio hiyo ya traffic maana yake mitandao ya simu imezidiwa na kama imezidiwa tutaishi hivyo hadi lini.Ikifika usiku basi huduma hamna.

Sasa sijui huko kwako Hali ikoje mi nimeongelea kwangu tu.

Usiku mwema.

Inakua na uchovu wa kukimbia mchana kutwa.
 
Back
Top Bottom