Ni kitu gani kitakachowakera watanzania hadi waichukie kweli kweli CCM?

Ni kitu gani kitakachowakera watanzania hadi waichukie kweli kweli CCM?

Watanzania wa X,insta,jf, nk ndio wanafanyiwa ubaya sisi watanzania wapiga kura walaaa ni mwendo wa kidumu chama cha mapinduzi
Hao watu wa X ya Insta na JF wanaishi nchi jirani!??
 
Issue ya lisu na kupotea kina ben saa nane plus watu wasiojulikana kuliongeza chuki kubwa sana kwa ccm mpaka leo.
 
Kwa ubaya wanaofanyiwa watanzania na CCM lakini wametulia tuliii... Inashangaza Sana.

Hadi nawaza ni kitu gani kibaya ambacho CCM hawajawafanyia wabongo kitakachowakera awa watanzania wenzangu hadi waichukie CCM KIKWELI KWELI?

Ni nini!???
Watanzania wanatakiwa wachukie uovu dhidi ya wananchi (taifa), kukosekana kwa ukweli, haki na siyo chama cha siasa.
Katika vyama vya siasa, CCM ikiwemo, wapo waovu wachache na wema wengi.
Kwa hiyo, kubadili vyama bila kupinga uovu dhidi ya wananchi (taifa) ni kazi bure.
Inahitajika elimu kwa wote kupinga uovu badala ya vyama. Haki na kweli itashamiri kwa njia hiyo.
Huo ndiyo utakuwa mwanzo wa ustaarabu na maendeleo kwa nchi/taifa.
 
Sikiliza hii
 
lebabu11 huo uovu kwa Sasa dhidi ya wananchi unafanywa na kina nani?

Na hao waovu wachache wana nguvu kiasi gani ndani ya CCM!?
 
Kwa ubaya wanaofanyiwa watanzania na CCM lakini wametulia tuliii... Inashangaza Sana.

Hadi nawaza ni kitu gani kibaya ambacho CCM hawajawafanyia wabongo kitakachowakera awa watanzania wenzangu hadi waichukie CCM KIKWELI KWELI?

Ni nini!???
You are being watched. The government has a secret system, a machine that spies on you every hour of every day. I know because I built it. I designed the machine to detect acts of terror but it sees everything. Violent crimes involving ordinary people, people like you. Crimes the government considered "irrelevant." They wouldn't act, so I decided I would. But I needed a partner, someone with the skills to intervene. Hunted by the authorities, we work in secret. You'll never find us, but victim or perpetrator, if your number's up... we'll find you.
 
You are being watched. The government has a secret system, a machine that spies on you every hour of every day. I know because I built it. I designed the machine to detect acts of terror but it sees everything. Violent crimes involving ordinary people, people like you. Crimes the government considered "irrelevant." They wouldn't act, so I decided I would. But I needed a partner, someone with the skills to intervene. Hunted by the authorities, we work in secret. You'll never find us, but victim or perpetrator, if your number's up... we'll find you.
Devil's agent on work.
 
Kenya waliitwa watu waliolala, Ugana wagonjwa, Tanzania maiti. Ukitafakari kuna ka ukweli
Walio lala huamka,wagonjwa hupona ,tatizo hao maiti sasa. Kweli aliye toa hilo neno aliwaza mbali sana,kama watu wanaweza kuushangilia msafara wa Rais wenye magari 120 unategemea nini
 
Back
Top Bottom