Point less
Senior Member
- Jun 24, 2020
- 194
- 98
- Thread starter
- #21
Kwanin umesema ivo mkuu ?Mpaka hapo una dalili ya kucharaza zero kali sana.
Ukifurukuta utapata fo ya 18
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanin umesema ivo mkuu ?Mpaka hapo una dalili ya kucharaza zero kali sana.
Ukifurukuta utapata fo ya 18
Mawazo mazuri Sana kwa wanafunzi wa kileo.1. Penda kombi na masomo yako.
2. Epuka bifu na walimu au wanafunzi wenzako.
3. Pata usingizi wa kutosha.
4. Tumia muda wako vizuri acha upuuzi shuleni.
5. Soma sana.
6. Muombe Mungu.
7. Fanya discussion.
8. Always pambana ku cover topics mapema uwezavyo.
9. Baada ya ku cover topics mapema jitolee kufundisha wenzako muda mwingi kadri uwezavyo.
10. Fanya mazoezi.