Ni kitu gani ulidanganywa kuhusu Mwalimu Nyerere?

Ni kitu gani ulidanganywa kuhusu Mwalimu Nyerere?

Eti Malkia alimtaka Nyerere akawe Waziri Mkuu wao maana alikuwa na akili sana kuliko wanasiasa wote wa UK
 
Dah hiyo ya tatu noma. Ila noma zaidi ni hiyo na kuulizwa mbwa kule kwenu wanakula nini?
 
Kwamba nyerere ndiye aliyetunga lugha ya kiswahili. Yaani kila neno la kiswahili alilitunga yeye.
Nilikuwa nawaza huyu mzee alikuwa na akili sana.
 
Nasikia kuna siku Nyerere na Moi walikuwa mkutano Ulaya sasa wakati wa kula walipewa vijiko vya dhahabu..!

Sasa bhana Nyerere akawa amepanga aibe walau kijiko kimoja wakati huo kumbe Mzee Moi naye akawa ameishapanga kuiba kijiko katika hali ya haraka akawa amewahi kuficha kijiko kwenye mfuko wa koti.

Wakati huo Nyerere alishamuona bila wazungu kujua, walipomaliza kula akawambia naomba niwafanyie mchezo muone utaalam wetu wa kiafrika wa mazingara/ombwe watu wakamakinika. Hapo Nyerere akaomba wamsogezee sahani iliyobeba vijiko vya dhahabu akachukua kijiko na kuwambia nitaficha kijiko mfukoni mwangu alafu mkisachi mzee Moi mtakikuta mfukoni mwake. [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa kwakuwa mzee Moi alikuwa ameiba akaona akijifanya kuongea ataumbuka hivyo akakausha mr. teacher akazamisha kijiko ile wanazama mfukoni mwa Moi kijiko hichoo[emoji23][emoji23]
Kajamaa kakatoka na kijiko mzee nasikia alikamaindi sana wakati wa kurudi kwenye ndege ila kakamuomba msamahaa jamaa akapotezea [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia kuna siku Nyerere na Moi walikuwa mkutano Ulaya sasa wakati wa kula walipewa vijiko vya dhahabu..!

Sasa bhana Nyerere akawa amepanga aibe walau kijiko kimoja wakati huo kumbe Mzee Moi naye akawa ameishapanga kuiba kijiko katika hali ya haraka akawa amewahi kuficha kijiko kwenye mfuko wa koti.

Wakati huo Nyerere alishamuona bila wazungu kujua, walipomaliza kula akawambia naomba niwafanyie mchezo muone utaalam wetu wa kiafrika wa mazingara/ombwe watu wakamakinika. Hapo Nyerere akaomba wamsogezee sahani iliyobeba vijiko vya dhahabu akachukua kijiko na kuwambia nitaficha kijiko mfukoni mwangu alafu mkisachi mzee Moi mtakikuta mfukoni mwake. [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa kwakuwa mzee Moi alikuwa ameiba akaona akijifanya kuongea ataumbuka hivyo akakausha mr. teacher akazamisha kijiko ile wanazama mfukoni mwa Moi kijiko hichoo[emoji23][emoji23]
Kajamaa kakatoka na kijiko mzee nasikia alikamaindi sana wakati wa kurudi kwenye ndege ila kakamuomba msamahaa jamaa akapotezea [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
😀 😀 😀 😀 😀 😀 dah
 
Kwanza eti mamayake alionekana katika delaya wakiwa kaka magari wa mbele katika vita,nyingine nikwamba walienda nje na kawawa wakapewa vyumba asubuhi akakuta kawawa kalala chini kuniuliza kawawa akamjibu nimepewa chumba bila kitanda Mwl akamwambia uache ushamba abonyeza switch kitanda hicho ndo kawawa kulala mangala apunguze usingizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba wakoloni wakimtafuta alikuwa anageuka kuwa mtoto mwenye vidonda vingi sana. Wakimuuliza anawaonyesha mbali, wanamuacha yeye. Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom