NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Kwa muda mrefu sana nimekuwa naweza kunyoosha mashati na makoti lakini linapokuja suala la kunyoosha suruali za vitambaa na kadeti ilinitesa sana kwakweli, nilikuwa naotea otea tu mpaka kuna muda narudia mara tatu kunyoosha suruali moja.
Yaani kulinganisha tu upanga wa suruali ilikuwa mtihani nikinyoosha suruali upanga unakuwa upo nje ya kawaida na sometimes suruali inakuwa na upanga zaidi ya moja.... Hali hii ilinipelekea nipende zaidi jeans.
Kuna siku nacheki youtube ndio nikaona mbinu nyepesi ni kufananisha kila pande chini ya suruali, kwa sasa navaa sana suruali maana shida imeondoka...
Wewe ulifanya kitu gani kwa muda mrefu, nguvu nyingi ama hata kushindwa kabisa lakini sasa unaweza kukifanya haraka kwa ukamilifu ?
Yaani kulinganisha tu upanga wa suruali ilikuwa mtihani nikinyoosha suruali upanga unakuwa upo nje ya kawaida na sometimes suruali inakuwa na upanga zaidi ya moja.... Hali hii ilinipelekea nipende zaidi jeans.
Kuna siku nacheki youtube ndio nikaona mbinu nyepesi ni kufananisha kila pande chini ya suruali, kwa sasa navaa sana suruali maana shida imeondoka...
Wewe ulifanya kitu gani kwa muda mrefu, nguvu nyingi ama hata kushindwa kabisa lakini sasa unaweza kukifanya haraka kwa ukamilifu ?