Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
Wakuu mambo vipi,
Natumai mkopoa sana tu,hivi ni kitu gani uliwahi kukifanya ukiwa peke yako na ukabaki unacheka mwenyewe au ukabaki umestaajabu mwenyewe.
Binasfi niliwahi kunywa maziwa ambayo yalikwisha ingia inzi nilikuja kugundua wakati nimeshameza nzi kadhaa hila nikajipa moyo sababu hakuna aliyeniona.
Kuna siku niliwahi kuanguka chooni nikabaki najicheka mwenyewe nikajisemea moyo labda majini yamenicheka sana.
Natumai mkopoa sana tu,hivi ni kitu gani uliwahi kukifanya ukiwa peke yako na ukabaki unacheka mwenyewe au ukabaki umestaajabu mwenyewe.
Binasfi niliwahi kunywa maziwa ambayo yalikwisha ingia inzi nilikuja kugundua wakati nimeshameza nzi kadhaa hila nikajipa moyo sababu hakuna aliyeniona.
Kuna siku niliwahi kuanguka chooni nikabaki najicheka mwenyewe nikajisemea moyo labda majini yamenicheka sana.