Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

kula mahindi ya kuchoma ndani ya daladala🐒

lakin pia siwezi kabisa kama jamaa wengine kunyonya ice cream baridi ya ukwaju, kahawa, maziwa au strobell 🐒
 
Nilipo highlight red hapo yaani hii ni tabia ya Mabinti wengine anaji snap au anatengeneza video TikTok huku anaimba nyimbo za Mbosso au za kuitamani ndoa huwa nawashangaaga sana. Alafu hiyo anayefanya hivyo ni graduate kabisa
 
Nilipo highlight red hapo yaani hii ni tabia ya Mabinti wengine anaji snap au anatengeneza video TikTok huku anaimba nyimbo za Mbosso au za kuitamani ndoa huwa nawashangaaga sana. Alafu hiyo anayefanya hivyo ni graduate kabisa
Yani mtu analamba lamba mdomo anabinua binua macho anapost.....aseee hata na hela mie hicho kitu hapana, sijawahii siweziiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…