Ni kitu gani...?!

Ni kitu gani...?!


...Barking Dogs Never Bite! ...lol....usimwambini sana huyo, siku ya siku anaweza fanya tendo mkashangaa.
Ni kiwango tu cha uvumilivu.

Inawezekana ni uvumilivu kweli, lakini mpaka sasa wengi wao wanamchukulia ni "msukule" (source: Mbu JF)
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sitanii ujue! mimi ukiniona nimechangia sredi ya Lizzy basi ujue niko serious vibaya. halaf hata mapigo yangu ya moyo yanaongezeka nikichangia sredi zako! Dah! kuna kila dalili kuwa nitakufa kijana!

Najua sana Kloro...ndo maana nimekuvizia upo ndo nikaanzisha!!

Ila kusema ukweli labda huyo mzee aligundua kwamba ana uvumilivu zaidi ya alivyoamini. Au anaamini ile ya KOSA SIO KOSA BALI KURUDIA KOSA!!Usitegemee akareact hivyo hivyo iwapo huyo dada atarudia kosa!!
 

Quoted;


There are several warning signs of an emotional affair.
  • You are withdrawing from your spouse.
  • You are preoccupied and daydream about your friend more and more.
  • You are not interested in being intimate with your spouse, either emotionally or sexually.
  • The amount of time you and your spouse spend together is less.
  • When confronted about the apparent emotional affair, you respond, "We're just friends."
  • You find yourself anticipating when you can communicate or be with your friend again. Alone time together is important to you.
  • You are sharing your thoughts, feelings, and problems with your friend instead of your spouse.
  • You find reasons to give your friend personal gifts.
  • Your friend seems to understand you better than your spouse does.
  • You are keeping your friendship a secret from your spouse

mbu na wengine hebu tazama hiyo no 7
halafu tazama michango yetu yoote ya jukwaa hili
 
Klorokwin, ina maana wanaume wanaruhusiwa ku cheat kweli? sasa baioloji zenu zikichachamaa si muende kwa wake zenu

hata kama hawaruhusiwi lakini at least demand yao ya sex iko juu sana na inaweza ikawa ni natural excuse, hivi unajua mwanaume kila sekunde anatengeneza ma sperms millioni kwa millioni lakini mwanamke kwa mwezi mzima anadondosha kayai kamoja tu. watu wa mmahesabu wanaweza wakanisaidia kuweka ratio,
 

Quoted;


There are several warning signs of an emotional affair.
  • You are withdrawing from your spouse.
  • You are preoccupied and daydream about your friend more and more.
  • You are not interested in being intimate with your spouse, either emotionally or sexually.
  • The amount of time you and your spouse spend together is less.
  • When confronted about the apparent emotional affair, you respond, "We're just friends."
  • You find yourself anticipating when you can communicate or be with your friend again. Alone time together is important to you.
  • You are sharing your thoughts, feelings, and problems with your friend instead of your spouse.
  • You find reasons to give your friend personal gifts.
  • Your friend seems to understand you better than your spouse does.
  • You are keeping your friendship a secret from your spouse
Kuna watu wanaweza kupinga ila hii huwa haikwepeki kabisa, na siku hizi marafiki hawa mastranger kwenye mitandao ndio usiseme, iila kimoyomoyo unajidanganya haucheat kumbe tayari, kwenye vitabu vya dini tunaambiwa hata kutamani ni kucheat
 
hata kama hawaruhusiwi lakini at least demand yao ya sex iko juu sana na inaweza ikawa ni natural excuse, hivi unajua mwanaume kila sekunde anatengeneza ma sperms millioni kwa millioni lakini mwanamke kwa mwezi mzima anadondosha kayai kamoja tu. watu wa mmahesabu wanaweza wakanisaidia kuweka ratio,
Kwa hiyo zikitengenezwa huwa lazima zitoke sio, na mwanamke yai lake ndio lina determine hamu yake?
 
Tunasubiria.....

Lizzy mpenzi mie hapa nachelea nisijeonyesha udhaifu wangu bana,............... bado niko kwenye training ujue (nyamayao atanielewa hapa) Nikipenda mie huwa nakuwa mjinga, zumbukuku, zezeta yaani napenda bila akili.......naaminigi mpaka visivyoaminika!!! mengi anayoyafanya huwa nayaona kama ni bahati mbaya, amepitiwa amekosea.!! nadhani penzi huwa linanipofua macho na hisia kabisaaaa nikipigwa kibao cha shavu mie nahisi ni busu, !!! Nadhani nahitaji msaada katika hili.

(Ila mchanganyiko wa haya ukifika pomoni, mh..................geuka yangu huwa ni ngumu sana) so siweziaininsha kitu kimoja amacho kitanifanya nimwache mpenzi wangu labda ajaribu yoooote (tena kwa kurudia rudia - baada yua kusamehewa mara nyinggi) ili nikinai!

Hivi nilisema sitaki kuuanika udhaifu wangu eh?!
 
Najua sana Kloro...ndo maana nimekuvizia upo ndo nikaanzisha!!

Ila kusema ukweli labda huyo mzee aligundua kwamba ana uvumilivu zaidi ya alivyoamini. Au anaamini ile ya KOSA SIO KOSA BALI KURUDIA KOSA!!Usitegemee akareact hivyo hivyo iwapo huyo dada atarudia kosa!!

suala la msingi: Kwanini ameikiuka kauli yake ya kabla kuowa? hapa ndio mantiki ya stori yangu!
 
Inawezekana ni uvumilivu kweli, lakini mpaka sasa wengi wao wanamchukulia ni "msukule" (source: Mbu JF)

...lol....hilo ni 'limbwata' tena lile la kujilambisha mwenyewe, khaaa....msukule hayupo hivyo!


mbu na wengine hebu tazama hiyo no 7
halafu tazama michango yetu yoote ya jukwaa hili

Wrong! wrong! wrong buddy....hai apply JF iwapo una share thoughts na Annonymous.
Shida ni pale mnapoanza mawasiliano nje ya JF...mkishaanza juana kwa sura, na sauti,...!
 
kupika naweza ajiri house girl/mpishi
kununa nipate sababu ya kumbembeleza
kunenepa yes,wowowo litaongezeka

halafu wavivu huwa hata kutoka toka hawapendi
so hakusumbui kwenda out,
kutwa yuko ndani analala lala
kali mkuu
 
Kwa hiyo zikitengenezwa huwa lazima zitoke sio, na mwanamke yai lake ndio lina determine hamu yake?

Good point lady gaga! shukuru umeumbwa mwanamke! zile kitu zikijaa ndio mara unaskia "mtakatifu kabaka muumini kanisani/msikitini", "jirani yake Mbu kabaka mbuzi" "Lizzy nae kaekewa kioo chini ya sketi", nakazalika nakazalika

yai ni sehemu ya kuamsha hisia kwa mwanamke indirectly through hormones so as sperms. na kuna factors nyingi ambazo zinamput off mwanamke kwenye sex lakini mwanamme hata ukimkuta hatamani sex basi ujue ni bwabwa au kapoteza akili.
 
Lizzy mpenzi mie hapa nachelea nisijeonyesha udhaifu wangu bana,............... bado niko kwenye training ujue (nyamayao atanielewa hapa) Nikipenda mie huwa nakuwa mjinga, zumbukuku, zezeta yaani napenda bila akili.......naaminigi mpaka visivyoaminika!!! mengi anayoyafanya huwa nayaona kama ni bahati mbaya, amepitiwa amekosea.!! nadhani penzi huwa linanipofua macho na hisia kabisaaaa nikipigwa kibao cha shavu mie nahisi ni busu, !!! Nadhani nahitaji msaada katika hili.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
(Ila mchanganyiko wa haya ukifika pomoni, mh..................geuka yangu huwa ni ngumu sana) so siweziaininsha kitu kimoja amacho kitanifanya nimwache mpenzi wangu labda ajaribu yoooote (tena kwa kurudia rudia - baada yua kusamehewa mara nyinggi) ili nikinai!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hivi nilisema sitaki kuuanika udhaifu wangu eh?!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Nimecheka (lakini sijakucheka MJO)

Mara nyingi watu wa aina yako huwa hawageuki nyuma wanapoamua.....(hata ile general rule kuwa mahawara hawaachani wao ni exceptional) unakinai kama uliyekula nyama ya mafuta
 
Lizzy mpenzi mie hapa nachelea nisijeonyesha udhaifu wangu bana,............... bado niko kwenye training ujue (nyamayao atanielewa hapa) Nikipenda mie huwa nakuwa mjinga, zumbukuku, zezeta yaani napenda bila akili.......naaminigi mpaka visivyoaminika!!! mengi anayoyafanya huwa nayaona kama ni bahati mbaya, amepitiwa amekosea.!! nadhani penzi huwa linanipofua macho na hisia kabisaaaa nikipigwa kibao cha shavu mie nahisi ni busu, !!! Nadhani nahitaji msaada katika hili.

(Ila mchanganyiko wa haya ukifika pomoni, mh..................geuka yangu huwa ni ngumu sana) so siweziaininsha kitu kimoja amacho kitanifanya nimwache mpenzi wangu labda ajaribu yoooote (tena kwa kurudia rudia - baada yua kusamehewa mara nyinggi) ili nikinai!

Hivi nilisema sitaki kuuanika udhaifu wangu eh?!
Asante mpenzi kwa kujitoa mhanga...ila uzuri hapa ni kwamba kaka zetu hawa (kina Mbu na wenzie) hawawezi take advantage of you kwa huo udhaifu bali wanaweza kuutumia kwa mazuri kama hiyo siku itakaa ije!!Nnachofurahi ni kwamba pamoja na udhaifu wako bado una kiasi...kitu ambacho ni muhimu sana ili usije ukaishia kunyanyasika kwa hiari!!


Mwenyewe najua mtu mvumilivu anavyokuaga siku akiamua kwamba enough is enough...mtu anaweza hata kukuogopa!
 
suala la msingi: Kwanini ameikiuka kauli yake ya kabla kuowa? hapa ndio mantiki ya stori yangu!

Kampa dada nafasi ya kujirekebisha...au usikute nae anakula nje sana kiasi kwamba kumfukuza mke angekua kama anamuonea!!
 
Kampa dada nafasi ya kujirekebisha...au usikute nae anakula nje sana kiasi kwamba kumfukuza mke angekua kama anamuonea!!

inaweza ikawa ndio hivyo unavyosema lakini mimi ninavyoona ni kwamba alikuwa "anajadili maisha ya gerezani wakati yeye yupo uraiani"
 
Good point lady gaga! shukuru umeumbwa mwanamke! zile kitu zikijaa ndio mara unaskia "mtakatifu kabaka muumini kanisani/msikitini", "jirani yake Mbu kabaka mbuzi" "Lizzy nae kaekewa kioo chini ya sketi", nakazalika nakazalika

yai ni sehemu ya kuamsha hisia kwa mwanamke indirectly through hormones so as sperms. na kuna factors nyingi ambazo zinamput off mwanamke kwenye sex lakini mwanamme hata ukimkuta hatamani sex basi ujue ni bwabwa au kapoteza akili.

...LOL......klorokwini upande wa pili wa shillingi,
wanawake wana cheat sababu ya 'Emotional Connection.'...
Kanga%2011%20kopia.jpg


 

Quoted;


There are several warning signs of an emotional affair.
  • You are withdrawing from your spouse.
  • You are preoccupied and daydream about your friend more and more.
  • You are not interested in being intimate with your spouse, either emotionally or sexually.
  • The amount of time you and your spouse spend together is less.
  • When confronted about the apparent emotional affair, you respond, "We're just friends."
  • You find yourself anticipating when you can communicate or be with your friend again. Alone time together is important to you.
  • You are sharing your thoughts, feelings, and problems with your friend instead of your spouse.
  • You find reasons to give your friend personal gifts.
  • Your friend seems to understand you better than your spouse does.
  • You are keeping your friendship a secret from your spouse


heheeh na hapa ndipo janga la taifa linapoanzia! hii post ni expensive sana Mbu acha niisave kwenye file zangu za kujihami.
 
Kidogo mengine naweza nikajitahidi kuyavumilia lakini la mkong'onto na usaliti........mmmh! Hapana kwakweli!
 
Back
Top Bottom