Ni kituko gani cha bhangi uliwahi kufanya, hutokisahau?

Ni kituko gani cha bhangi uliwahi kufanya, hutokisahau?

Craig

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
1,512
Reaction score
2,712
Ama kweli, Kwenye Maisha Hakuna Hali ya kudumu. "No condition is permanent".

Kipindi naanza kuwa kijana nilipitia kuvuta bhangi, almost 34 years ago. Basi siku hiyo nilivuta bhangi magethoni kwa masela. Wakati narudi home nikahisi njaa Kali ndiyo nikanunua mandazi ya buku hivi nikanywee chai home.

Basi ile nafika home maji hakuna hata tone yaani hata kikombe. (Kulikuwa na adha ya maji ni zaidi ya mgao)Basi kwa akili yangu ya bhangi nikajikuta nimejisachi mfukoni nikakuta kuna lizzle( Karatasi maalumu kwa kusokotea bhangi).

Wazo la kibaghi bhangi likanijia kwa Nini nisisokote majani ya chai kwenye Lizzle halafu niwashe kete huku natafuna na mandazi..

Basi kweli nikasokota majani ya chai kwenye lizzle nikawasha nikaanza kuvuta huku natafuna maandazi. Ebwana eehh yale mandazi yaliisha yote..

Vituko vilikuwa vingi sana kuna siku nilimfokea boss wangu kwanini anachelewa kazini,.... Mwisho nilikata shauri nikaachana nayo. Karibu utupe mkasa wako.
 
Mmmmmh
JamiiForums-188530487_698x439.jpg
 
Haya ni mambo utayasikia tu kwenye bangi za jero za mtaani.

hizi bang za jero hata hata huko mashambani zimeachwa tu maporini zinajiotea bila uangalizi zinapuliziwa mbolea zenye kemikali kali sana ili ziote fasta, kwenye uvunaji hata hazioshwi, watumiaji wanavuta hayo makemikali ya mbolea.


Nao mapusha wengi wanachanganya unga, sumu ya panya, dawa za vikohozi, n.k. ili ziwe na stim zaidi.... Hapa ukivuta siku ua kwanza vituko haviepukiki


STAREHE GHARAMA!! Huwezi kununua bangi ya jero ukategemea kupata ubora ule wa bangi original iliyolimwa na kuvunwa kwa uangalizi makini na pusha haongezi chochote.
 
Bangi ilinifanya ni gongee majirani wote mtaani nianze kuwasalimu kuanzia mtoto mpaka mzee mwenye nyumba, nilipokuta wanakula nilinawa mikono nikala bila kukaribishwa, kesho yake ilinibidi nisafiri kwanza nikajifiche
 
Bangi haina vituko

Bangi za jero za mtaani mapusha wengi wanachanganya unga, sumu ya panya, dawa za vikohozi, n.k.

Hivyo ukiona ulifanya vituko siku ya kwanza jua ni wazi uliingizwa cha kike.

Hayo mambo ya vituko utayakuta kwenye bange za jero tu, kwenye bangi za elf 10 stiki 3 huji kusikia hizo mambo.... STAREHE GHARAMA
Mkuu Bhangi ni bhangi tu tuache kujifariji eti kuna bhangi za South sijui scanker.. The way unaitetea bhangi ndiyo inakuzoea....
 
Mkuu Bhangi ni bhangi tu tuache kujifariji eti kuna bhangi za South sijui scanker.. The way unaitetea bhangi ndiyo inakuzoea....
Bangi nyingi za jero za hapa Tanzania mapusha wanachanganya sumu za panya na unga,

Ununue bangi ya jero mtaani unategemea kupata quality ya anaelipia elf 5
 
Ama kweli, Kwenye Maisha Hakuna Hali ya kudumu. "No condition is permanent".

Kipindi naanza kuwa kijana nilipitia kuvuta bhangi, almost 34 years ago. Basi siku hiyo nilivuta bhangi magethoni kwa masela. Wakati narudi home nikahisi njaa Kali ndiyo nikanunua mandazi ya buku hivi nikanywee chai home.

Basi ile nafika home maji hakuna hata tone yaani hata kikombe. (Kulikuwa na adha ya maji ni zaidi ya mgao)Basi kwa akili yangu ya bhangi nikajikuta nimejisachi mfukoni nikakuta kuna lizzle( Karatasi maalumu kwa kusokotea bhangi).

Wazo la kibaghi bhangi likanijia kwa Nini nisisokote majani ya chai kwenye Lizzle halafu niwashe kete huku natafuna na mandazi..

Basi kweli nikasokota majani ya chai kwenye lizzle nikawasha nikaanza kuvuta huku natafuna maandazi. Ebwana eehh yale mandazi yaliisha yote..

Vituko vilikuwa vingi sana kuna siku nilimfokea boss wangu kwanini anachelewa kazini,.... Mwisho nilikata shauri nikaachana nayo. Karibu utupe mkasa wako.

Skanka ni nzuri sana sie tunaichukulia hapo Arusha alafu hyo wanavuta matajiri .
Bush mhhh linanuka mtaa mzima hyo inaumisha kichwa acha kabisa na wengi wakivuta hiyo ikawakataa hua wanaangukia milembe na siwani
 
Skanka ni nzuri sana sie tunaichukulia hapo Arusha alafu hyo wanavuta matajiri .
Bush mhhh linanuka mtaa mzima hyo inaumisha kichwa acha kabisa na wengi wakivuta hiyo ikawakataa hua wanaangukia milembe na siwani
Hilo bush mapushà wengi wanachanganya sumu za panya, unga na dawa za kikohozi..... Nadhani walijifunza kwa wahindi wa india
 
Hilo bush mapushà wengi wanachanganya sumu za panya, unga na dawa za kikohozi..... Nadhani walijifunza kwa wahindi wa india

Hilo bush mapushà wengi wanachanganya sumu za panya, unga na dawa za kikohozi..... Nadhani walijifunza kwa wahindi wa india
Mhhh nikiwa sina mpunga bush nainunua alafu naichambua kama karanga hapo ntatoa stick moja tu
 
Skanka ni nzuri sana sie tunaichukulia hapo Arusha alafu hyo wanavuta matajiri .
Bush mhhh linanuka mtaa mzima hyo inaumisha kichwa acha kabisa na wengi wakivuta hiyo ikawakataa hua wanaangukia milembe na siwani
unaweza kunielewesha hizo Skanka, na Bush ni nini? Au ni aina za bangi na zinatofauti gani na ganja au msuba
 
Nlikua high nkajiulza ivi mtu unawezaje fanya wizi na stimu kama izi [emoji23] wale wez vibaka n tabia yao na wala
Hawavuti kisahihi
 
We achaga uongo miaka 34 nyuma utumie buku kununua maandazi wakat kipind icho andaz moja unapata kwa shilingi moja ina maana ulinunua maandazi buku ukitunga story za uongo uwe na kumbukumbu
 
We achaga uongo miaka 34 nyuma utumie buku kununua maandazi wakat kipind icho andaz moja unapata kwa shilingi moja ina maana ulinunua maandazi buku ukitunga story za uongo uwe na kumbukumbu
Mkuu Mandazi yana pishana Bei, Siyo hayo unayonunua Wewe Buza kwa mpalange.. Mandazi niliyomanisha enzi hizo ni doghunts zikiwa packed... Wajuaji hamkosekani..
 
Nikiwa primary kino clay nikapitia kikosi Cha mizinga hapo Niko darasa la Tano. Kuna mshikaji mkubwa alikuw anaitwa Charle matako mmoja wa kikosi Cha mizinga. Kipindi hicho mkubwa wao alikuwa Kalapina na nakumbuka TID alikuwa nae anakuja San kupuliza.
Charle matako akanipa mjani nikapuliza nikaingia xul, kuna madam mmoja wa kichaga madam mng'anya aliniuliza vipi we mbona umechelewa shule nikampigia busu kwa mkono nikamrushia. Aliniwasha Kofi moja akarudisha kelbu bangi yote ikatoka kichwani. Toka siku hiyo nilipuliza puff moja mwaka Jana hapo kitibu korona😂 sitaki kusikia bangi sio nzuri
 
Back
Top Bottom