Kamtwanje H
Member
- Oct 16, 2010
- 15
- 12
Habari zenu wadau. Ikiwa zimebaki siku kadhaa kabla ya michuano ya AFCON kuanza nchini Misri naomba kujua kama King'amuzi au kituo chochote cha Luninga ambacho kitarusha Mubashara michuano hii hapa nchini( TANZANIA) ukizingatia tuna uwakilishi wetu kule wa timu yetu ya taifa.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.