Ni kituo gani cha Television kilipigwa faini na TCRA wakati wa uchaguzi?

Ni kituo gani cha Television kilipigwa faini na TCRA wakati wa uchaguzi?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kuna taarifa naifanyia kazi sasa nahitaji baadhi ya information muhimu. Ningependa kujua, wakati wa kampeni kuna kituo cha television kilirusha matangazo ya BBC yaliyojumuisha taarifa fulani nadhani kuhusu Tundu Lissu. Kile kituo kilipigwa faini nadhani ya milioni 20.

Ningependa kujua kituo kile ni kipi na taarifa ile iliyorushwa ilikuwa ni ipi.
 
Kuna taarifa naifanyia kazi sasa nahitaji baadhi ya information muhimu. Ningependa kujua, wakati wa kampeni kuna kituo cha television kilirusha matangazo ya BBC yaliyojumuisha taarifa fulani nadhani kuhusu Tundu Lissu. Kile kituo kilipigwa faini nadhani ya milioni 20.

Ningependa kujua kituo kile ni kipi na taarifa ile iliyorushwa ilikuwa ni ipi.
Acha kutumika na mbinafsi Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom