Ni kiwango gani che pesa nahitajika kuwa nazo ili niweze kufungua Pharmacy hapa Dar?

Ni kiwango gani che pesa nahitajika kuwa nazo ili niweze kufungua Pharmacy hapa Dar?

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Nakusalimuni wakuu.

Binafsi nina ndoto za muda mrefu sana za kufungua Biashara ya kuuza dawa za binaadamu yani Pharmacy kwa rejareja hapa jijini Dar es salam.

Naomba maoni yenu wakuu, ni kiasi gani nahitajika niwe nazo ili niweze kufungua na kuanza hii Biashara. kwa maana ile starting point inayoridhisha kidogo.
 
swala la mtaji inategemea na location utakayofungua biashara yako... kwa sababu biashara ya pharmacy inaathiriwa na location kwa asilimia kubwa na ili upate location yenye tija utatakiwa usitafute frem iliyo wazi bali utafute location unayoona inafaa then uhakikishe unapata fremu hapo bila kujali gharama.
kuna mfanyabiashara alinunua tu location nje ya kodi kwa mil 90... siku ya kwanza tu aliuza mil 2 +, na kwene biashara ya dawa retail ukiuza 2m + manake profit ni 1mil +... kwa sasa anauza sio chin ya mil 3+/day

so ukishamaliza icho kipengele ukiwa ni 20mil, unasimamisha pharmacy vizuri nabhela ya emergency inabaki.
kwa vichache ninavyovijua
vibali haizidi 1.5m/year
hela ya mphamasia 1m/month
frem itategemea eneo/6month or year
marekebisho ya frem, kuiweka ikae kipharmacy, mabango etc 3m-5m kulingana na design utayotaka
wafanyakazi... pharmteck/dispenser, 450k -600k monthy... itategemea utataka uajili wangapi.
dawa weka bajet ya 5mil + 7mil... kwa kuanzia inatosha... utakuwa unaongeza kila siku kulingana na mahitaji mpk utakapoona duka lako lijitosheleze.


NB; zingatia sana kwene utafutaji wa location ili kupata return inayoeleweka + tofauti na ivo basi uwekeze kwene huduma ili kuwapa wagonjwa sababu ya kuifata huduma kwako kitu ambacho kitachukua mda mpk ujulikane.
 
swala la mtaji inategemea na location utakayofungua biashara yako... kwa sababu biashara ya pharmacy inaathiriwa na location kwa asilimia kubwa na ili upate location yenye tija utatakiwa usitafute frem iliyo wazi bali utafute location unayoona inafaa then uhakikishe unapata fremu hapo bila kujali gharama.
kuna mfanyabiashara alinunua tu location nje ya kodi kwa mil 90... siku ya kwanza tu aliuza mil 2 +, na kwene biashara ya dawa retail ukiuza 2m + manake profit ni 1mil +... kwa sasa anauza sio chin ya mil 3+/day

so ukishamaliza icho kipengele ukiwa ni 20mil, unasimamisha pharmacy vizuri nabhela ya emergency inabaki.
kwa vichache ninavyovijua
vibali haizidi 1.5m/year
hela ya mphamasia 1m/month
frem itategemea eneo/6month or year
marekebisho ya frem, kuiweka ikae kipharmacy, mabango etc 3m-5m kulingana na design utayotaka
wafanyakazi... pharmteck/dispenser, 450k -600k monthy... itategemea utataka uajili wangapi.
dawa weka bajet ya 5mil + 7mil... kwa kuanzia inatosha... utakuwa unaongeza kila siku kulingana na mahitaji mpk utakapoona duka lako lijitosheleze.


NB; zingatia sana kwene utafutaji wa location ili kupata return inayoeleweka + tofauti na ivo basi uwekeze kwene huduma ili kuwapa wagonjwa sababu ya kuifata huduma kwako kitu ambacho kitachukua mda mpk ujulikane.

Asante sana ndugu
 
kuna mfanyabiashara alinunua tu location nje ya kodi kwa mil 90... siku ya kwanza tu aliuza mil 2 +, na kwene biashara ya dawa retail ukiuza 2m + manake profit ni 1mil +... kwa sasa anauza sio chin ya mil 3+/day

Dah hilo ni tukio la kibabe kabisa, huyo lazima mafanikio yamtafute wenyewe, Ni ngumu kukuta mtu ambae ametokana na familia za kikulima au za utumishi wa uma kufanya matukio kama hayo.
 
Back
Top Bottom