Kuna mshamba kashakuzidi kete..[emoji23][emoji23]sikukuu h namuona demu wangu kawa mpole sana, cjui kuna boya kanizidi kete..!
Single tunaraha walah hata stress za mizinga hatunaga mungu atupe nini tena..?
umekosea sana mkuu.wazee wa selfie
Unataka kumpiga mtu kizinga?Hii mada sisi ambao hatuna wa kuwapiga mizinga haituhusu napita tu
HapanaUnataka kumpiga mtu kizinga?
hahahah kwangu hali ni hiyo hiyo toka juzi sijatoa ushirikiano kabisa.Kuna simu nimezichunia tangu alhamisi kuu kutoka kwa mtu fulani, hazikuwa simu za kheri zile kwa asilimia miambili