Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Kama desturi yetu ilivyo watanzania zinapokaribia sikuku au kipindi cha sikuku hakiwezi kupita bila kupigwa mzinga tuu
Kwa upande wako hebu tuambie ni mzinga wa aina gani uliopigwa sikuku ya leo hiii mimi upande wangu nimepigwa mzinga ...
Mimi upande wangu kuamka na kuamka nimepigwa mzinga wa elfu 30,000 hela ya kusuka na demu wangu zamani
Mwingine nae kanipiga mzinga ana shida ya elfu 50,000 atanirudishia jioni anadai atm card imemezwa .........
Haya upande wako wewe uko je
Kwa upande wako hebu tuambie ni mzinga wa aina gani uliopigwa sikuku ya leo hiii mimi upande wangu nimepigwa mzinga ...
Mimi upande wangu kuamka na kuamka nimepigwa mzinga wa elfu 30,000 hela ya kusuka na demu wangu zamani
Mwingine nae kanipiga mzinga ana shida ya elfu 50,000 atanirudishia jioni anadai atm card imemezwa .........
Haya upande wako wewe uko je