Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Eeh bhana
Kunabaadhi ya komenti tunaandika au nyuzi. ila baada ya muda mtu unakuja kuufahamu ukweli ambao unakuwa ni tofauti na komenti yako au uzi wako ulioanzisha.
Binafsi nimegundua kunasehemu nikiandika tango poli bila kujua na nitashea nanyi leo.
Komenti yangu niliandika kwenye uzi wa jamaa mmoja mwenye 20 million akiomba ushauri wa afanye biashara gani.
Komenti yangu ambayo nimeitambua kama tango poli ni hii hapa
Screenshot nyengine ni ya jamaa Bufa anaitwa kwa maelezo yake ni kuwa yupo STATES.....
Kwenda nje na kusettle sio jambo jepesi wala la muda mfupi kama nilivyotype
Kunabaadhi ya komenti tunaandika au nyuzi. ila baada ya muda mtu unakuja kuufahamu ukweli ambao unakuwa ni tofauti na komenti yako au uzi wako ulioanzisha.
Binafsi nimegundua kunasehemu nikiandika tango poli bila kujua na nitashea nanyi leo.
Komenti yangu niliandika kwenye uzi wa jamaa mmoja mwenye 20 million akiomba ushauri wa afanye biashara gani.
Komenti yangu ambayo nimeitambua kama tango poli ni hii hapa
Screenshot nyengine ni ya jamaa Bufa anaitwa kwa maelezo yake ni kuwa yupo STATES.....
Kwenda nje na kusettle sio jambo jepesi wala la muda mfupi kama nilivyotype