Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Aboud Jumbe alikuwa Kifungoni kwa Amri ya Julius Nyerere ,Chini ya Uendesha mashtaka wa Maalim Seif Sharif Hamad na Nassor Moyo. Kosa lake ni kutaka serikal tatu anazolilia Seif. Kifungo chake kitamalizika wakati anapelekwa Kaburini
Kumbe ni hukumu ya maisha