Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Aboud Jumbe alikuwa Kifungoni kwa Amri ya Julius Nyerere ,Chini ya Uendesha mashtaka wa Maalim Seif Sharif Hamad na Nassor Moyo. Kosa lake ni kutaka serikal tatu anazolilia Seif. Kifungo chake kitamalizika wakati anapelekwa Kaburini
Ni mahakama gani iliyomhukumu?
Aliwekwa kifungo cha nyumbani bila kikomo kwa amri ya Rais lakini hakufikishwa mahakamani
AHAHHAAHH!! Kaka Mussolin5, Hujui kuwa kuna watu wa KITENGO..au umejitoa ufahamu mkuu.
Yupo mjimwema kigamboninamuulizia aboud jumbe,wa,zanzibar aliyekamatwa na.kuzuiliwa mji mwema hivi maskin mzee huyu yupo wapi kwa sasa???
Jumbe kawa mzee sasa,yupo kwake mjimwema,ana ulinzi,gari na mafao ya serikali hiyo habari ya kukamatwa kwake uliisikia wapinamuulizia aboud jumbe,wa,zanzibar aliyekamatwa na.kuzuiliwa mji mwema hivi maskin mzee huyu yupo wapi kwa sasa???
kigamboni,lkn haruhusiwi kupanda lile pantoni na kutokeza mjini,yeye ni chaka kwa chaka..namuulizia aboud jumbe,wa,zanzibar aliyekamatwa na.kuzuiliwa mji mwema hivi maskin mzee huyu yupo wapi kwa sasa???
wanasubiri ifike miaka 27 kama mandela ndio wamtoe,vumilieni wakuu,imebakia miwili tu mtamuona anatamba kwenye majukwaa ya kisiasa tena...Kweli katika hili Watanzania tusimame,tusitekeleze kila alichofanya Nyerere, kiukweli Ndugu Jumbe, hatendewi haki kwa kuhifadhiwa hapo Kigamboni.
hapewi heshima ya kama mmoja wa maraisi wa Zanzibar, hashirikishwi kwenye hafla zozote, kwanini hawa wazanzibar hawaoni umuhimu wa mtu wao.
Imetosha sasa, Jumbe atolewe kizuizini.
Mkuu,Jumbe kawa mzee sasa,yupo kwake mjimwema,ana ulinzi,gari na mafao ya serikali hiyo habari ya kukamatwa kwake uliisikia wapi