Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,866
- 1,076
..haha, kwani huwezi waza labda Kuna solar?na kwa taarifa kigamboni yote umeme wa tanesco ukikatika ni kwakwe tu unaendelea kuwaka....sasa ujiulize kuna kebo ya waya wa umeme kutoka upande wa pili wa nyumba nyeupe umeenda kwake au la
Zanzibar Ni nchi kwani?Zanzibar
...hapa serikali Ni moja Tu, 2 au 3 za nini?Mzee Jumbe aliona umuhimu wa Serikali tatu miaka zaidi ya thelathini iliyopita na akaipigania akiwa Rais enzi hizo mpaka akapoteza Urais wake akina Seif Sharif Hamad kwa kujipendekeza kwao kwa Bw.Julius Nyerere walijifanya waumini wa serikal mbili na Kina Aman Karume wanajifanya waumini wa serikal tatu baada ya kustaafu Urais
Nchi ndogoZanzibar Ni nchi kwani?
Wewe usije kuniingiza kwenye mgogoro wa mizengo pindaZanzibar Ni nchi kwani?
Umbeya umbeya tuJumbe kawa mzee sasa,yupo kwake mjimwema,ana ulinzi,gari na mafao ya serikali hiyo habari ya kukamatwa kwake uliisikia wapi
Ni wilaya kama ilivyo tanganyikaZanzibar Ni nchi kwani?
Mkuu,
Ngoja tuongeze uthibitisho wa uhuru wa Mzee Aboud Jumbe. Picha za karibuni tunawaona kina Dr. Shein Rais wa SMZ, Maalim Seif Katibu Mkuu CUF, Dr. Bilal Makamu wa Rais Mstaafu wakiwa ktk picha na Mzee Jumbe, Kina-Tomaso picha hizi za Mzee Aboud Jumbe Mwinyi, amezaliwa 14 June 1920 na sasa ana umri wa miaka 96 ndiyo maana haonekani kutokana na umri mkubwa.
Mzee Jumbe aliona umuhimu wa Serikali tatu miaka zaidi ya thelathini iliyopita na akaipigania akiwa Rais enzi hizo mpaka akapoteza Urais wake akina Seif Sharif Hamad kwa kujipendekeza kwao kwa Bw.Julius Nyerere walijifanya waumini wa serikal mbili na Kina Aman Karume wanajifanya waumini wa serikal tatu baada ya kustaafu Urais
Atakua anatumia back up supply ya solar au inveter zinachaji battery kubwa ambazo ziwasha umeme kwake incase umeme wa tanesco ukikatikana kwa taarifa kigamboni yote umeme wa tanesco ukikatika ni kwakwe tu unaendelea kuwaka....sasa ujiulize kuna kebo ya waya wa umeme kutoka upande wa pili wa nyumba nyeupe umeenda kwake au la
CCM imemloga yuleeJumbe kawa mzee sasa,yupo kwake mjimwema,ana ulinzi,gari na mafao ya serikali hiyo habari ya kukamatwa kwake uliisikia wapi
Kuna standby generator na ukumbuke huyu alikuwa Rais kwahiyo anapewa Haki yake kama Marais wengine waliopitia Uraisna kwa taarifa kigamboni yote umeme wa tanesco ukikatika ni kwakwe tu unaendelea kuwaka....sasa ujiulize kuna kebo ya waya wa umeme kutoka upande wa pili wa nyumba nyeupe umeenda kwake au la
kigamboni,lkn haruhusiwi kupanda lile pantoni na kutokeza mjini,yeye ni chaka kwa chaka..
Yeah,umetoa hints kwa mbaaaliii mkuu.Mzee Jumbe aliona umuhimu wa Serikali tatu miaka zaidi ya thelathini iliyopita na akaipigania akiwa Rais enzi hizo mpaka akapoteza Urais wake akina Seif Sharif Hamad kwa kujipendekeza kwao kwa Bw.Julius Nyerere walijifanya waumini wa serikal mbili na Kina Aman Karume wanajifanya waumini wa serikal tatu baada ya kustaafu Urais
Hii "eti" ni dalili ya umbea na udaku.Eti aliambiwa asome 'ajenda' kwenye kikao akashindwa, ikabidi ajiuzuru!
Sasa mbona yupo" under detention without trial" isiyo julikana mwisho wake..!!??Kuna standby generator na ukumbuke huyu alikuwa Rais kwahiyo anapewa Haki yake kama Marais wengine waliopitia Urais
Hiyo detection ulimuweka wewe? ukiambiwa leta ushahidi hapa utaweza au ndio unataka ku u mislead UMMA?Sasa mbona yupo" under detention without trial" isiyo julikana mwisho wake..!!??
Sasa kama amemaliza kifungo cha nyerere si wamrudishe nchini kwake
Bhac mkuu nimekosa,maana watu ukweli hawataki kusikia.Hiyo detection ulimuweka wewe? ukiambiwa leta ushahidi hapa utaweza au ndio unataka ku u mislead UMMA?