Ni kosa kisheria mtumishi wa Umma kutoa Siri za Wateja

Ni kosa kisheria mtumishi wa Umma kutoa Siri za Wateja

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210604_094332_624.jpg

Kanuni za Maadili na Mienendo ya Utumishi wa Umma zinamtaka Mtumishi kutotoa taarifa au Siri za Mteja bila ruhusa maalumu

Kujadili taarifa za Wateja kwenye maeneo ya Umma kama Sokoni na kwenye Migahawa ni kuvunja #Haki ya faragha ya Mtu

Mtumishi anatakiwa kuendelea kutunza Siri za Mteja hata ikiwa amestaafu au kuacha kazi kwenye Utumishi wa Umma
 
Upvote 1
Mtumishi wa Umma ni Nani/yupi...!

Tuanzie hapo ili twende sawa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom