MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Duhh huyu mungiki fala kweli kweli
Yaani kwa vimichoro vya graph ati anajidanganya Kenya ni tajiri hahaha
Ati unasema wa TZ wajinga nakushangaa
Vipi khs nyie nchi yenu kumilikiwa na kqbila mbali na kuwanyima HAKI wakenya wenzenu jee sio ujinga na ufala huo?
Huoni mnajitengezea matatizo ambayo matokeo yk mnatafuta hifadhi kukimbilia Tanzania
Hivi unafahamunkuwa Kenya kuna unasikini ambao huwezi kuta umasikini mkali kama huo kwa TZ,
Kubali usikubali TZ ndio kila kitu ktk east Africa nakumbuka museven aliwahi kusema without TZ there is no east Africa,
Unakumbuka jakaya alipunguza route za KQ kuja TZ mbona mulimfuata Namibia kumbembeleza km kweli nyie ni matajiri?
Kwataarifa yenu mungiki kubalini TZ ni nchi tajiri kwanini nasema hvy nayajua ambayo nyingi hamjui lkn MTA amini muda mchache ujao
Nakumbuka rais aliyrpita aliwahi kuwaeleza viongozi wa Kenya wkt ule khs kusign miswaada ya EAC Tanzania ilipokataa kushinikizwa SERIKALI ya mungiki na wapambe wake wakatishia kuwa cc tunasonga mbele
Muheshimiwa kikwete aliwajibu km mnasonga mbele nendeni sababu cc Tanzania tunahitajika zaid na nchi za EAC kuliko cc tunavyowahitaji,
utajiri haupimwi kwa kuangalia michoro na mqkaratasi tuu
Kuna mambo mengi ya MSINGI
Political stability
Geographically position of the country
Natural resources
Population
Fertile land
Education
Etc etc
Tanzania utajiri upo ila wa kuliwa na Wachina hao mnawaita ndugu.
Madini mnayo lakini maskini wa kutupwa, leo mnaomba tumchague Raila eti ndio mruhusu tuje kuchuma hayo madini.
Mjiboreshe kiuchumi kwanza