Ni kosa kubwa wakenya kutompa urais Raila Odinga

Ni kosa kubwa wakenya kutompa urais Raila Odinga

Duhh huyu mungiki fala kweli kweli
Yaani kwa vimichoro vya graph ati anajidanganya Kenya ni tajiri hahaha
Ati unasema wa TZ wajinga nakushangaa
Vipi khs nyie nchi yenu kumilikiwa na kqbila mbali na kuwanyima HAKI wakenya wenzenu jee sio ujinga na ufala huo?
Huoni mnajitengezea matatizo ambayo matokeo yk mnatafuta hifadhi kukimbilia Tanzania
Hivi unafahamunkuwa Kenya kuna unasikini ambao huwezi kuta umasikini mkali kama huo kwa TZ,
Kubali usikubali TZ ndio kila kitu ktk east Africa nakumbuka museven aliwahi kusema without TZ there is no east Africa,
Unakumbuka jakaya alipunguza route za KQ kuja TZ mbona mulimfuata Namibia kumbembeleza km kweli nyie ni matajiri?
Kwataarifa yenu mungiki kubalini TZ ni nchi tajiri kwanini nasema hvy nayajua ambayo nyingi hamjui lkn MTA amini muda mchache ujao
Nakumbuka rais aliyrpita aliwahi kuwaeleza viongozi wa Kenya wkt ule khs kusign miswaada ya EAC Tanzania ilipokataa kushinikizwa SERIKALI ya mungiki na wapambe wake wakatishia kuwa cc tunasonga mbele
Muheshimiwa kikwete aliwajibu km mnasonga mbele nendeni sababu cc Tanzania tunahitajika zaid na nchi za EAC kuliko cc tunavyowahitaji,
utajiri haupimwi kwa kuangalia michoro na mqkaratasi tuu
Kuna mambo mengi ya MSINGI
Political stability
Geographically position of the country
Natural resources
Population
Fertile land
Education
Etc etc

Tanzania utajiri upo ila wa kuliwa na Wachina hao mnawaita ndugu.
Madini mnayo lakini maskini wa kutupwa, leo mnaomba tumchague Raila eti ndio mruhusu tuje kuchuma hayo madini.
Mjiboreshe kiuchumi kwanza
 
Yaani ndio kabisa unamkosesha Raila kura kwa kauli za kihivi, hiki ni kicheko cha mwaka eti mgombea urais atafute kura kwa ahadi kwamba atatuombea makazi kwa nchi maskini chini yetu......hehehehe!!!
Siku Raila atatamka kitu kama hicho atatukanwa mpaka ausahau urais.

Rais bora ni yule anaboresha maisha ya ndani ya watu wake, na kama lazima watu wake watoke, basi waende kwenye nchi zenye hela ili watume nyumbani kwa ajili ya uwekezaji.

Ndio maana nchi yenu mnaliwa sana, akili zenu hazijawahi badilika tangu Nyerere awajaribishe kwenye hicho kitu aliita ujamaa, mnapenda mambo ya kujidanganya na undugu, eti leo Magufuli akiwa swahiba na kiongozi wa nchi nyingine basi raia wa kule wapo radhi kuja na kuchuma na kunyakua kila wakitakacho. Mchina amewatafuna sana kwa kutumia huo undugu wa kijinga.

Yaani Raila atufanye tuje kuwa omba omba Tanzania kama walvyo ndugu zenu huku....
Mkuu achana na huyu, humu Jamiiforums tunajuana wenye akili timamu na walio vichaa kama huyo tunawajua pia
 
NDIO MAANA WATU WAZIMA TUNAWASHAURI SANA WATOTO KUBAKI FACEBOOK KWANZA ILI WAJIFUNZE VITU VYA KUPOST
 
Wakenya wengi hawajui kucheza karata za kisiasa.Wakenya wengi wanataka kupenya kuingia Tanzania ila kikwazo kikubwa ni sheria Na Sera mbalimbali za Tanzania kama za ardhi,ajira,uhamiaji nk kuzibadili wakenya wangekuwa Na akili wangempa raila odinga rafiki wa magufuli ambaye kwa kupitia urafiki wao wangeweza ongea kirafiki tu Na Tanzania ikalegeza misimamo in favour of Kenya. Lakini kwa kukomaa Na Kenyatta ni wazi kuwa wakenya wataendelea kuwa Na nafasi finyu sana ya kupenya Na kubadili sheria Na Sera Za Tanzania. Wamepoteza golden opportunity. Kenyatta yuko Na chadema ni rahisi tu kusema Kenyatta katangaza vita Na serikali ya CCM hivyo kustarajiwe mabadiliko yoyote ya maana kati ya Kenya Na Tanzania. Kwa sababu kushughulika Na Kenyatta ni kama kushughulika Na mwakilishi wa tawi la chadema nchini Kenyatta kamanda Uhuru Kenyatta
Wazimu na ujinga wa hali ya juu hapa.Hatu wezi kuharibu nchi yetu kumpatia uongozi jamaa asiyefaa kuwa rais ati ndio tupate manufaa Tz hiyo ni kama kutupa shilingi elfu moja ili upate shilingi mia mbili.
 
Yaani ndio kabisa unamkosesha Raila kura kwa kauli za kihivi, hiki ni kicheko cha mwaka eti mgombea urais atafute kura kwa ahadi kwamba atatuombea makazi kwa nchi maskini chini yetu......hehehehe!!!
Siku Raila atatamka kitu kama hicho atatukanwa mpaka ausahau urais.

Rais bora ni yule anaboresha maisha ya ndani ya watu wake, na kama lazima watu wake watoke, basi waende kwenye nchi zenye hela ili watume nyumbani kwa ajili ya uwekezaji.

Ndio maana nchi yenu mnaliwa sana, akili zenu hazijawahi badilika tangu Nyerere awajaribishe kwenye hicho kitu aliita ujamaa, mnapenda mambo ya kujidanganya na undugu, eti leo Magufuli akiwa swahiba na kiongozi wa nchi nyingine basi raia wa kule wapo radhi kuja na kuchuma na kunyakua kila wakitakacho. Mchina amewatafuna sana kwa kutumia huo undugu wa kijinga.

Yaani Raila atufanye tuje kuwa omba omba Tanzania kama walvyo ndugu zenu huku....

Arrogance at its prime, Kenyans are the poorest people in the region. Numbers don't lie
 
Mleta Uzi YEHODAYA , naona unabisha hodi kwa mkemia wa mkojo kwa nguvu.

Ukikaribishwa ukatakiwa kufungua zipu na kikopo mikononi usilaumu watu.

Any way, nimewaza kwa sauti .
 
Endeleeni kujipa moyo watz, eti Kenya poorest? Mbona ni kama mnajitekenya lakini hata hamcheki?
 
Endeleeni kujipa moyo watz, eti Kenya poorest? Mbona ni kama mnajitekenya lakini hata hamcheki?
Wewe matajiri Kenya ni wazungu wahindi Na wanasiasa Na familia zao Tanzania tuna matajiri waswahili akina Reginald mengi,bakhresa, Zakaria,mfuruki nk ambao hawaangukii kwenye hayo makundi ya wazungu,wahindi,Na wanasiasa kama Kenya. Kenya ardhi wamiliii wakuu ni hayo makundi Tanzania hata Muuza karanga au asiye Na kazi ana uwezo wa kumiliki kipande cha ardhi.tofauti Na Kenya ambako MTU kwenye digrii hana hata kiwanja Na hawezi pata kama hana kazi ataishia kuishi slums za kibera Na mathare Nairobi Na digrii zake
 
Wakenya wengi hawajui kucheza karata za kisiasa.Wakenya wengi wanataka kupenya kuingia Tanzania ila kikwazo kikubwa ni sheria Na Sera mbalimbali za Tanzania kama za ardhi,ajira,uhamiaji nk kuzibadili wakenya wangekuwa Na akili wangempa raila odinga rafiki wa magufuli ambaye kwa kupitia urafiki wao wangeweza ongea kirafiki tu Na Tanzania ikalegeza misimamo in favour of Kenya. Lakini kwa kukomaa Na Kenyatta ni wazi kuwa wakenya wataendelea kuwa Na nafasi finyu sana ya kupenya Na kubadili sheria Na Sera Za Tanzania. Wamepoteza golden opportunity. Kenyatta yuko Na chadema ni rahisi tu kusema Kenyatta katangaza vita Na serikali ya CCM hivyo kustarajiwe mabadiliko yoyote ya maana kati ya Kenya Na Tanzania. Kwa sababu kushughulika Na Kenyatta ni kama kushughulika Na mwakilishi wa tawi la chadema nchini Kenyatta kamanda Uhuru Kenyatta
Mkuu mambo ya wakenya wanamtaka nani awaongoze ni bora tukawaachia wao!
 
Yaani ndio kabisa unamkosesha Raila kura kwa kauli za kihivi, hiki ni kicheko cha mwaka eti mgombea urais atafute kura kwa ahadi kwamba atatuombea makazi kwa nchi maskini chini yetu......hehehehe!!!
Siku Raila atatamka kitu kama hicho atatukanwa mpaka ausahau urais.

Rais bora ni yule anaboresha maisha ya ndani ya watu wake, na kama lazima watu wake watoke, basi waende kwenye nchi zenye hela ili watume nyumbani kwa ajili ya uwekezaji.

Ndio maana nchi yenu mnaliwa sana, akili zenu hazijawahi badilika tangu Nyerere awajaribishe kwenye hicho kitu aliita ujamaa, mnapenda mambo ya kujidanganya na undugu, eti leo Magufuli akiwa swahiba na kiongozi wa nchi nyingine basi raia wa kule wapo radhi kuja na kuchuma na kunyakua kila wakitakacho. Mchina amewatafuna sana kwa kutumia huo undugu wa kijinga.

Yaani Raila atufanye tuje kuwa omba omba Tanzania kama walvyo ndugu zenu huku....
Ulianza vizuri lakini umepotoka ulipoongelea habari za wachina!

Yaani kwa akili zako hujui nchi gani imelizwa na wachina kati ya Kenya na tz? Acha kujitia aibu ndg yangu!
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Mkuu ungejua jinsi wakenya walivyojaa Tanzania,wanapiga biashara zao km kawaida na wengine wameajiria katika makampuni mengi na sekta binafsi,wanapiga hela balaa,na ardhi wanamiliki na kujenga wamejenga.kuna shule moja ya secondari mjini Arusha ya binafsi na mmiliki ni mtanzania tena mchaga,ina walimu wakenya na waganda zaidi ya 17,watanzania hawazidi 12,na wakenya wanalipwa mshahara mkubwa zaidi kuliko wabongo japo wote wana viwango sawa vya elimu (bachelor).., wengi wanaamini kielimu Kenya na Uganda wapo juu zaidi yetu ndo maana wanaleta walimu kutoka huko na kuwalipa ghali.na kiukweli jamaa wanapiga kazi kweli kweli,wapo serious na kazi,wabongo perere mingi lkn hakuna kitu.tunafanya kazi Kwa mazoea
Kuweka sawa kumbukumbu ni kuwa, raia wa nchi za nje kulipwa mshahara mkubwa kuliko watanzania ni kwa sababu ya makato.

Raia wa nje ana makato makubwa kuliko mtanzania, hivyo ni muhimu mshahara wake uwe juu kidogo ili baada ya kuondoa makato abaki na hela ya maana.
 
Ulianza vizuri lakini umepotoka ulipoongelea habari za wachina!

Yaani kwa akili zako hujui nchi gani imelizwa na wachina kati ya Kenya na tz? Acha kujitia aibu ndg yangu!

Hatuna madini ya kuliwa na Wachina, wameitafuna nchi yenu hadi imebaki mahandaki. Huwa mnawaita eti ndugu zenu na kuwavisha kofia za vyama.

baloz-jpg.113407
 
Mtoa mada sijui kala chpis yai viza iliyokaangwa na mchanganyo wa viazi vilivyooza kenyata kapenya hacha kuhenya,
 
Hatuna madini ya kuliwa na Wachina, wameitafuna nchi yenu hadi imebaki mahandaki. Huwa mnawaita eti ndugu zenu na kuwavisha kofia za vyama.

baloz-jpg.113407
Mkuu inatosha mana unayoongea yote ni point nchi imejaa maandaki kila upande.
 
JF kweli imekosa great thinkers...sasa wakenya waje Tanzania kufanya nini?
 
Back
Top Bottom