GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Nimeshasikia mara kadhaa mahubiri yenye maneno yanayofanana na haya:
1. "Ole wenu wahubiri mnaowahubiria watu uponyaji na mafani"
2. "Makanisa ya siku hizi yanahubiri mafanikio tu"
3. N.k.
Ni kosa Wakristo kufundishwa jinsi ya kufanikiwa kifedha na kuwa na afya njema?
Kuna ubaya wo wote kwa Mkristo kuwa tajiri?
1. "Ole wenu wahubiri mnaowahubiria watu uponyaji na mafani"
2. "Makanisa ya siku hizi yanahubiri mafanikio tu"
3. N.k.
Ni kosa Wakristo kufundishwa jinsi ya kufanikiwa kifedha na kuwa na afya njema?
Kuna ubaya wo wote kwa Mkristo kuwa tajiri?