shatisuruali
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 921
- 2,842
China kwa sasa wamehamia kwenye AI-IOT Artificial intelligence in internet of things. Asome vyote au kimojawapo kati ya hivyo. Ikiwezekana kama ana matokeo mazuri atafute scholarship program akasome mbele kozi hizo.