Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Kwa mujibu wa CAF, Yanga ya Tanzania inashikilia rekodi ya kufungwa mabao mengi zaidi katika msimu mmoja wa michuano ya klabu Bingwa Afrika hatua ya Makundi.
Msimu huo ulikuwa ni mwaka 1998, Yanga ilifungwa mabao 19 katika mechi 6 za Makundi, ikipoteza dhidi ya Asec Mimosa ya Ovprt Coast, Manning ya Afrika Kusini na Raja Casablanca ya Morocco.
Chanzo: salehjembefacts
Msimu huo ulikuwa ni mwaka 1998, Yanga ilifungwa mabao 19 katika mechi 6 za Makundi, ikipoteza dhidi ya Asec Mimosa ya Ovprt Coast, Manning ya Afrika Kusini na Raja Casablanca ya Morocco.
Chanzo: salehjembefacts