Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,189
Himidini mbona unasema ndio maana mimba hazitungwi wakati mmoja?
^^
Apolinary
Katika maajab ya uumbaji wa Mungu, moja ni hilo, wanawake wanatofautiana siku za kuingia mwezini hivyo hata yai linapokomaa lifikie urutubishaji ndipo mimba hutungwa tofauti, kuepuka binadam kuwa na tabia za aina moja.
Bado sioni ajabu mwanamke kupata mimba wakati ambao mwanaume hutegemei
^^
Last edited by a moderator: