Himidini mbona unasema ndio maana mimba hazitungwi wakati mmoja?
bora umemuita mwenyewe hapa uone balaa lake
Sawa nsubiria
lakini ungetoa view zako katika suala hili la Uzazi
usijali mkuu ndio nasoma soma then nitakupa mchango wangu ila mwakani wakati kama huu utakuwa na mwanao anacheza hapo ndani, utafurahi sana na kumtukuza Bwana
usijali mkuu ndio nasoma soma then nitakupa mchango wangu ila mwakani wakati kama huu utakuwa na mwanao anacheza hapo ndani, utafurahi sana na kumtukuza Bwana