New Manase
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 294
- 39
dah mtoa mada hana uthibitisho mpeni hahahahahaha!California Institute of Technology,
Georgia Institute of Technology,
Colorado Institute of Technology,
Dar es Salaam Institute of Technology,
Durban Institute of Technology,
Hizo ni baadhi ya Taasisi zinazotoa Bachelor Degree, so make sure u do some research before
Jamani nijuavyo mimi ni kwamba Shahada (Digrii) zinatunukuwa na Vyuo Vikuu pamoja na Vyuo Vishiriki vilivyo chini ya Vyuo Vikuu husika lakini nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini 'Taasisi ya Usimamizi wa Fedha (Institute of Financial Management - IFM) imepewa mamlaka ya kutunuku Shahada za Uhasibu, Taxation, IT etc kwa wahitimu wake wakati siyo Chuo Kikuu?
Jamani nijuavyo mimi ni kwamba Shahada (Digrii) zinatunukuwa na Vyuo Vikuu pamoja na Vyuo Vishiriki vilivyo chini ya Vyuo Vikuu husika lakini nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini 'Taasisi ya Usimamizi wa Fedha (Institute of Financial Management - IFM) imepewa mamlaka ya kutunuku Shahada za Uhasibu, Taxation, IT etc kwa wahitimu wake wakati siyo Chuo Kikuu?
Jamani nijuavyo mimi ni kwamba Shahada (Digrii) zinatunukuwa na Vyuo Vikuu pamoja na Vyuo Vishiriki vilivyo chini ya Vyuo Vikuu husika lakini nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini 'Taasisi ya Usimamizi wa Fedha (Institute of Financial Management - IFM) imepewa mamlaka ya kutunuku Shahada za Uhasibu, Taxation, IT etc kwa wahitimu wake wakati siyo Chuo Kikuu?
nimekuelewa ndugu hata mimi nilikuwa sifahamu kwasababu ya kutokufuatilia, ila umesema kitu ambacho ni kweli hata mimi ninaingia bachelor ya account tia na sina shaka na chuo maana najua ni chuo kikongwe na account hapo ndio nyumbani kwaoninachoelewa ni kwamba institute ni center ambayo imebobea to a specific field, to me institute is better than university c'se they have all kinds of expertise in a particular field.
Hint: Look at tia relationship with ministry of finance compared to ud, mz, tumaini etc, dit and bodi ya wahandisi [engineers] compared to ud,etc dar maritime institute ..
Comp science,social protection,IT nazo zinasimamia fedha?institute maanake ni taasii iliyospecilise katika kitu fulani na in hadhi ya kutoa shahada mfano dit ina deal na masuala ya teknolojia ifm ina deal na mambo ya fedha na vingine vingi,university ni taasisi ambayo inatoa shahada ya vitu mbalimbali ya haijaspecilize katika kitu kimoja mfano udsm,udom zinatoa sociology,education,maedicine,finance n.k wakubwa mpoo
Huyu lazima atakuwa anaamini dawa ya meno ni colget peke yake na shoe shine ni kiwi peke yake.
ninachoelewa ni kwamba institute ni center ambayo imebobea to a specific field, to me institute is better than university c'se they have all kinds of expertise in a particular field.
hint: look at TIA relationship with ministry of finance compared to ud, mz, tumaini etc, DIT and bodi ya wahandisi [engineers] compared to ud,etc dar maritime institute ..
ninachoelewa ni kwamba institute ni center ambayo imebobea to a specific field, to me institute is better than university c'se they have all kinds of expertise in a particular field.
hint: look at TIA relationship with ministry of finance compared to ud, mz, tumaini etc, DIT and bodi ya wahandisi [engineers] compared to ud,etc dar maritime institute ..
Kwahito unasemaje kuhusu Ardhi University (specialised in land/Ardhi),MUHAS (Specialised in human health), SUA (specialised in Agriculture) etc. Unamaana hizi ni Institutes siyo Vyuo vikuu au sijakuelewa vizuri mkuu? Mimi pia binafsi hili suala la Institute na University linanisumbua sana kulitofautisha maana naona ni kama kitu kimoja tu.Hebu nidadavulie kindani zaidi hili mkuu.
Comp science,social protection,IT nazo zinasimamia fedha?
nimekuelewa ndugu hata mimi nilikuwa sifahamu kwasababu ya kutokufuatilia, ila umesema kitu ambacho ni kweli hata mimi ninaingia bachelor ya account tia na sina shaka na chuo maana najua ni chuo kikongwe na account hapo ndio nyumbani kwao
Ni sawa na mtu aliyepata div 1 na aliyepata division 3 katika necta ikatokea wamepangiwa chuo kimoja koz moja, huyu mwenye div 1 kama ni mtu wa wivu anaweza akajiuliza kwa nini huyu jamaa nimempita pakubwa then wote tumeangukia sehemu moja. Sasa hili ndilo tatzo alilokuwa nalo mtoa mada inawezekana kuna mwenzake amechaguliwa IFM naye amechaguliwa may be UDSM au Mzumbe hvo anapata wivu kwamba yeye yuko university na mwenzake yuko ktk institute ila mwisho wa siku wote wanapata degree, alitegemea huyu wa IFM apewe diploma ili yeye aonekane yupo juu zaidi. Na mbna ameitaja IFM tu wakati kuna IAA, DIT,MIT na vip kuhusu CBE.
alisoma masterz kweli?humfahamu Tumbiri, ni mhitimu wa CPA na amemaliza phd yake London
Afadhali na potelea mbali ni mtu na ndugu yake. Kama unahoji umahiri wa vyuo, nenda pale UCC halafu ujiulize tunataraji wahitimu wa namna gani ktk IT ikiwa wakufunzi ndio wale.
Tukaage tukijivuna tu kuwa graduates lkn kama hamtasoma vitabu...degree ni makaratasi ambayo hata wewe unaweza tu ukjiandikia la kwako. Elimu yetu ni almost 0 na ndio maana kila siku hapa mnanung'unika oooh tiGO wanatuibia, mara ooh ITV mnaboa. Graduates are not competent! (kazi kujadili mishahara)
wewe ni MSAJILI wa vyuo au?