Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nimejaribu kupitia 'list' ya matajiri duniani, nikagundua wale ma-top wengi wanatoka Marekani.
Ukiangalia ata wasanii wao au wafanya biashara kutoka huko kwao wanamiliki ndege n.k
Sasa najiuliza, ni kitu gani kinacho wafanya wao kuwa na matajiri wengi.
Ni kwamba wana sera nzuri za kuwawezesha raia wao kuwa matajiri, au wanawakopesha, au kuna namna nyingine?
Njooni tujadili.
Ukiangalia ata wasanii wao au wafanya biashara kutoka huko kwao wanamiliki ndege n.k
Sasa najiuliza, ni kitu gani kinacho wafanya wao kuwa na matajiri wengi.
Ni kwamba wana sera nzuri za kuwawezesha raia wao kuwa matajiri, au wanawakopesha, au kuna namna nyingine?
Njooni tujadili.