nimemsoma member mmoja humu JF akisema movie ya mama Samia ya royal tour inaweza kuingiza mpaka 1.5 trillion kwa kukodishwa pekee kwenye mtandao wa amazon na bado kuna faida nyingine kama ongezeko la watalii nk
sasa kama movie iliyogharimu billion 7 inaweza kuingiza pesa mingi kiasi huko kwa nini hawa majirani zetu wa angalau Kenya & Rwanda wasifuate nyayo za mama kuigiza movie
sasa kama movie iliyogharimu billion 7 inaweza kuingiza pesa mingi kiasi huko kwa nini hawa majirani zetu wa angalau Kenya & Rwanda wasifuate nyayo za mama kuigiza movie