Ni kwa nini Yanga wanamchukia sana Okwi? Okwi mzee ni Mbaya zaidi kuliko Okwi kijana.

Umeshatoka kwa Okwi umerukia kwa mamaangu. Mnawashwa nini nyinyi wafanyakazi wa wahindi? Mpira unapigwa uwanjani, punguzeni 'domo'
 
Katika miaka sita ya okwi kuichezea simba, amenyanyua ndoo Mara moja tu ,so what nyinyi mapumbumbu
 
Vuka mto (kachukua ubingwa) ndiyo uongee lolote unalotaka. Mwaka wa nne huu hizi kelele zimekuwa very common.
Hata hivyo najua common sense miongoni mwa baadhi ya mashabiki wa matopeni siyo common kabisa.
Wenye akili zao wametulia kabisa maana wanajua its not done until its done!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…