NI kwamba moja ya malengo yaliyoainishwa kwenye ilani ya CCM ni pamoja na kuimarisha mazingira ya KUBET?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Awali nilimpongeza Sana Katibu WA CCM alivyopiga marufuku kubeti.

Contrary; nimesikitika kusikia kubeti IPO kwenye ilani ya chama cha mapinduzi.

Je, ni kweli ilani hiyo inatengeneza wataalamu WA kubeti au ni propaganda? Kama ilani inasimamia kubeti, je Katibu Mkuu kukemea nikupingana na ilani ya chama chake?
 
Umesikia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…