Ni kwamba yutong wameacha kutengeneza bus za 3 by 2 seats

Ni kwamba yutong wameacha kutengeneza bus za 3 by 2 seats

Siku hizi bus zote ni 2 by 2 ukicheki gharama ya basi na abiria inayobeba inatia mashaka kuingia kwenye hii biashara.

Let say bus inatoka Dar to Arusha 2#2 seat abiria 60 nauli 35,000 itachukua muda mrefu gar kurudisha pesa uliyonunulia na kupata faida.
Mkuu, mbona hesabu imeishia robo ndugu?
 
u
Mkuu mbona unashangaza, Hiyo seat kuwa 2 by 2 mbona iko hivyo toka mwanzo, sahv zipo Gari ya 2 by 1 (High luxury), We ushangaa 2 by 2, Umekuja lini mjini

Wewe sio Risk taker
Tanzania hii yawwzekana nikawa top
Mkuu mbona unashangaza, Hiyo seat kuwa 2 by 2 mbona iko hivyo toka mwanzo, sahv zipo Gari ya 2 by 1 (High luxury), We ushangaa 2 by 2, Umekuja lini mjini
yawezekana niko mjini kabla hujazaliwa
Mkuu mbona unashangaza, Hiyo seat kuwa 2 by 2 mbona iko hivyo toka mwanzo, sahv zipo Gari ya 2 by 1 (High luxury), We ushangaa 2 by 2, Umekuja lini mjini
n
Dar arusha ni 45 50 had 60k though
ordinary bus 30-35
 
Achane ujuaji mbona private za dom/dar noah zinajaaa na watu wanawekwa mtu kati kama kawa......

Siti za nyuma kwenye basi mbona watu wanakaaa poa tu hata mtu nne au watano kabisa.......

Mashauzi classic huku baba ako hata paso ana
Dar- dom mtu anapanda Noah tena ya kulipia, basi zilivo nyingi tena masaa yote 😅
 
Back
Top Bottom