Ni kwamba yutong wameacha kutengeneza bus za 3 by 2 seats

Mkuu, mbona hesabu imeishia robo ndugu?
 
u
Mkuu mbona unashangaza, Hiyo seat kuwa 2 by 2 mbona iko hivyo toka mwanzo, sahv zipo Gari ya 2 by 1 (High luxury), We ushangaa 2 by 2, Umekuja lini mjini

Wewe sio Risk taker
Tanzania hii yawwzekana nikawa top
Mkuu mbona unashangaza, Hiyo seat kuwa 2 by 2 mbona iko hivyo toka mwanzo, sahv zipo Gari ya 2 by 1 (High luxury), We ushangaa 2 by 2, Umekuja lini mjini
yawezekana niko mjini kabla hujazaliwa
Mkuu mbona unashangaza, Hiyo seat kuwa 2 by 2 mbona iko hivyo toka mwanzo, sahv zipo Gari ya 2 by 1 (High luxury), We ushangaa 2 by 2, Umekuja lini mjini
n
Dar arusha ni 45 50 had 60k though
ordinary bus 30-35
 
Achane ujuaji mbona private za dom/dar noah zinajaaa na watu wanawekwa mtu kati kama kawa......

Siti za nyuma kwenye basi mbona watu wanakaaa poa tu hata mtu nne au watano kabisa.......

Mashauzi classic huku baba ako hata paso ana
Dar- dom mtu anapanda Noah tena ya kulipia, basi zilivo nyingi tena masaa yote 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…