Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

Nchi kumi kubwa kieneo Africa ni kama ifuatavyo
1. Algeria 2.Democratic Republic Of Congo ( DRC) 3. Sudan 4. Libya 5. Chad 6. Niger 7. Angola 8. Mali 9. South Afica 10. Ethiopia
Umeisahau Nigeria na Tanzania
 
View attachment 1984012
Kiwanda cha Fomi Burundi ambacho Baada ya kufanya vyema kwa Mbolea yake ndio ilifanya Rais Magufuli amshawishi Bilionea Simon kuja kujenga na Tanzania ili kupambana na uhaba wa mbolea, Bilionea huyo aliitikia wito na kiwanda kinajengwa Nala Dodoma ambapo kitalenga soko pia la ndani ya Tanzania ikiwa ni pamoja na masoko ya Kenya, Malawi na Zambia kwani kwa kutokea Dodoma maeneo hayo hufikika kirahisi sana
Burundi inategemea mbolea ya kuagiza,kuna jamaa yangu lori zake zinasomba mbolea kutoka bandarini dar kwenda burundi..mwaka huu mzima yuko busy na hiyo kazi
 
Burundi inategemea mbolea ya kuagiza,kuna jamaa yangu lori zake zinasomba mbolea kutoka bandarini dar kwenda burundi..mwaka huu mzima yuko busy na hiyo kazi

Rwanda kuna viwanda vya cement na bado wanaagiza kutoka Tanzania, Na Tanzania kuna viwanda vya sukari lakini wanaagiza sukari mwaka mzima kutoka nje hiyo ni principle rahisi kwenye biashara
 
Kwani Rwanda siyo Landlocked Country? Kuna shida ambazo Burundi inazo na Rwanda haina au haikuwahi kuwa nazo? Baada ya Genocide wote Warwanda na Waburundi walipewa Misaada ya Kujiimarisha na Kujiinua na IMF na WB mmeshajiandaa ni kwanini Rwanda ilizitumia vyema hizo Pesa na Burundi kupitia Viongozi wao wenye Urafiki na Rais wenu Mstaafu 'Mswahili' wa Pwani wakazifuja na kuja Kujenga Mahekalu, Mahoteli, Maduka makubwa, Kununua Mashamba mengi na kuja Kuoa hovyo Wanawake wa Kitanzania na Kuwaambukiza zaidi UKIMWI wao?

Rwanda waliokuwa matatizoni pamoja na Burundi katika 1994 Genocide ( tena wao ndiyo Wakiathirika zaidi kuliko Burundi ) wamewezaje Kujijenga na Kujiimarisha zaidi Kiusalama na Kijeshi mpaka sasa kuwa Tishio Africa na Wao Waburundi wasiweze / washindwe?

Unajenga nchi yako kwa Kujipendekeza na Kujikomba 24/7 kwa Tanzania mpaka kuruhusu waingie katika Idara zako Nyeti za Kijeshi, Usalama, Anga na Mawasiliano au kwa kuja na Mikakati thabiti ambayo haitoathiri Ustawi wako kama Nchi na Taifa?

Watutsi tukiwa tunawadharau Wahutu kwa kutokuwa Kwao na Akili msiwe mnaona tunawaomba bali huwa tuko sahihi 100% na nashukuru sasa kati ya Rwanda na Burundi tayari Rwanda inaonekana imeshavuka ngazi nyingi za Upuuzi wa Kiutawala, Kiutendaji na Kiuongozi uliopo huko Burundi.
Sawa kasusura
 
Kama ningekuwa Rais wa Burundi ningefanya hivyohivyo. Banana na Tanzania na hakuna kitakachoharibika.

Burundi imezunguukwa na Tanzania kila kona. Tanzania na Burundi Zina mipaka zaidi ya 10. Yaani Burundi ni kama mkoa wa Tanzania.

Lugha (Kiswahili), vyakula na muingiliano wa kijamii ndio usiseme. Sasa kwa nini Burundi isijikombe kwa Tanzania. As landlocked country, ndio usiseme. Ni uamuzi wa busara sana.

Yaani ni kama ile Kingdom ya Swaziland, ambayo imezunguukwa na South Africa, ianze kujiringisha au kuleta nyodo kwa S. Africa. Itakuwa ni uhayawani. Way to go Mr. Rais wa Burundi.
 
Kama ningekuwa Rais wa Burundi ningefanya hivyohivyo. Banana na Tanzania na hakuna kitakachoharibika.

Burundi imezunguukwa na Tanzania kila kona. Tanzania na Burundi Zina mipaka zaidi ya 10. Yaani Burundi ni kama mkoa wa Tanzania.

Lugha (Kiswahili), vyakula na muingiliano wa kijamii ndio usiseme. Sasa kwa nini Burundi isijikombe kwa Tanzania. As landlocked country, ndio usiseme. Ni uamuzi wa busara sana.

Yaani ni kama ile Kingdom ya Swaziland, ambayo imezunguukwa na South Africa, ianze kujiringisha au kuleta nyodo kwa S. Africa. Itakuwa ni uhayawani. Way to go Mr. Rais wa Burundi.
Au Lesotho ambayo sasa inajiita Eswatini. Yenyewe imezungukwa na South Africa pande zote kama unavyoona Tanzania halafu Dodoma iwe ni nchi inayojitemea.
 
Au Lesotho ambayo sasa inajiita Eswatini. Yenyewe imezungukwa na South Africa pande zote kama unavyoona Tanzania halafu Dodoma iwe ni nchi inayojitemea.
Kweli kabisa mkuu. Au kama ilivyo my dream country, Canada [emoji1063], ambayo haina jirani zaidi mbabe U.S.A. Canada amejikunyata pembeni ya Marekani ili kufaidi matunda ya kuishi na jirani tajiri na mwenye nguvu

If you can't beat them, join them.
 
Kweli kabisa mkuu. Au kama ilivyo my dream country, Canada [emoji1063], ambayo haina jirani zaidi mbabe U.S.A. Canada amejikunyata pembeni ya Marekani ili kufaidi matunda ya kuishi na jirani tajiri na mwenye nguvu

If you can't beat them, join them.
Umechanganya madesa, Canada ni G7 kaa ukilielewa hili.

Mfano wako ni tofauti na uhalisia tuliongelea sisi.
 
Au Lesotho ambayo sasa inajiita Eswatini. Yenyewe imezungukwa na South Africa pande zote kama unavyoona Tanzania halafu Dodoma iwe ni nchi inayojitemea.

Swaziland ndio hiyohiyo Eswatin kwa yule mfalme anaeoa kila mwaka anachagua bikra na lesotho bado wanatumia jina hilohilo
 
Umechanganya madesa, Canada ni G7 kaa ukilielewa hili.

Mfano wako ni tofauti na uhalisia tuliongelea sisi.
Hakuna tofauti hata kidogo. Kilichobadilika na geographical location tu. Vinginevyo Canada mbele ya U. S ni kama Burundi mbele ya Tanzania. Wote ni kama Sungura kulala karibu na tembo, wanafeel mingurumo na mitetemeko ya jirani mwenye nguvu.

Kuwa G8 na popn ya watu million.38 na hauna Nuclear weapons haikusaidii chochote . Canada [emoji1063] is just a middle power country, lakini ina jirani mtemi.
 
Back
Top Bottom