Umeisahau Nigeria na TanzaniaNchi kumi kubwa kieneo Africa ni kama ifuatavyo
1. Algeria 2.Democratic Republic Of Congo ( DRC) 3. Sudan 4. Libya 5. Chad 6. Niger 7. Angola 8. Mali 9. South Afica 10. Ethiopia
Si unaona ulivo ndina,Congo forest Ni km square 1,406,752.Huo Msitu pekee Ni mkubwa kuliko Tz yote nzimaYeah lakini umenielewa kusema msitu wa congo unacoverage ya nchi yote ya tz kieneo....rekebisha hapo
Tanzania is a playmaker in the geopolitics of East and Central Africa
Burundi inategemea mbolea ya kuagiza,kuna jamaa yangu lori zake zinasomba mbolea kutoka bandarini dar kwenda burundi..mwaka huu mzima yuko busy na hiyo kaziView attachment 1984012
Kiwanda cha Fomi Burundi ambacho Baada ya kufanya vyema kwa Mbolea yake ndio ilifanya Rais Magufuli amshawishi Bilionea Simon kuja kujenga na Tanzania ili kupambana na uhaba wa mbolea, Bilionea huyo aliitikia wito na kiwanda kinajengwa Nala Dodoma ambapo kitalenga soko pia la ndani ya Tanzania ikiwa ni pamoja na masoko ya Kenya, Malawi na Zambia kwani kwa kutokea Dodoma maeneo hayo hufikika kirahisi sana
Burundi inategemea mbolea ya kuagiza,kuna jamaa yangu lori zake zinasomba mbolea kutoka bandarini dar kwenda burundi..mwaka huu mzima yuko busy na hiyo kazi
Sawa kasusuraKwani Rwanda siyo Landlocked Country? Kuna shida ambazo Burundi inazo na Rwanda haina au haikuwahi kuwa nazo? Baada ya Genocide wote Warwanda na Waburundi walipewa Misaada ya Kujiimarisha na Kujiinua na IMF na WB mmeshajiandaa ni kwanini Rwanda ilizitumia vyema hizo Pesa na Burundi kupitia Viongozi wao wenye Urafiki na Rais wenu Mstaafu 'Mswahili' wa Pwani wakazifuja na kuja Kujenga Mahekalu, Mahoteli, Maduka makubwa, Kununua Mashamba mengi na kuja Kuoa hovyo Wanawake wa Kitanzania na Kuwaambukiza zaidi UKIMWI wao?
Rwanda waliokuwa matatizoni pamoja na Burundi katika 1994 Genocide ( tena wao ndiyo Wakiathirika zaidi kuliko Burundi ) wamewezaje Kujijenga na Kujiimarisha zaidi Kiusalama na Kijeshi mpaka sasa kuwa Tishio Africa na Wao Waburundi wasiweze / washindwe?
Unajenga nchi yako kwa Kujipendekeza na Kujikomba 24/7 kwa Tanzania mpaka kuruhusu waingie katika Idara zako Nyeti za Kijeshi, Usalama, Anga na Mawasiliano au kwa kuja na Mikakati thabiti ambayo haitoathiri Ustawi wako kama Nchi na Taifa?
Watutsi tukiwa tunawadharau Wahutu kwa kutokuwa Kwao na Akili msiwe mnaona tunawaomba bali huwa tuko sahihi 100% na nashukuru sasa kati ya Rwanda na Burundi tayari Rwanda inaonekana imeshavuka ngazi nyingi za Upuuzi wa Kiutawala, Kiutendaji na Kiuongozi uliopo huko Burundi.
Umekosea sana kumsifia Kagame mtu yeyote anayejiona ni bora katika jamii kuliko wote wenye akili kama binadamu hawawezi ku-bend their knee.Sawa kasusura
Au Lesotho ambayo sasa inajiita Eswatini. Yenyewe imezungukwa na South Africa pande zote kama unavyoona Tanzania halafu Dodoma iwe ni nchi inayojitemea.Kama ningekuwa Rais wa Burundi ningefanya hivyohivyo. Banana na Tanzania na hakuna kitakachoharibika.
Burundi imezunguukwa na Tanzania kila kona. Tanzania na Burundi Zina mipaka zaidi ya 10. Yaani Burundi ni kama mkoa wa Tanzania.
Lugha (Kiswahili), vyakula na muingiliano wa kijamii ndio usiseme. Sasa kwa nini Burundi isijikombe kwa Tanzania. As landlocked country, ndio usiseme. Ni uamuzi wa busara sana.
Yaani ni kama ile Kingdom ya Swaziland, ambayo imezunguukwa na South Africa, ianze kujiringisha au kuleta nyodo kwa S. Africa. Itakuwa ni uhayawani. Way to go Mr. Rais wa Burundi.
Kweli kabisa mkuu. Au kama ilivyo my dream country, Canada [emoji1063], ambayo haina jirani zaidi mbabe U.S.A. Canada amejikunyata pembeni ya Marekani ili kufaidi matunda ya kuishi na jirani tajiri na mwenye nguvuAu Lesotho ambayo sasa inajiita Eswatini. Yenyewe imezungukwa na South Africa pande zote kama unavyoona Tanzania halafu Dodoma iwe ni nchi inayojitemea.
Umechanganya madesa, Canada ni G7 kaa ukilielewa hili.Kweli kabisa mkuu. Au kama ilivyo my dream country, Canada [emoji1063], ambayo haina jirani zaidi mbabe U.S.A. Canada amejikunyata pembeni ya Marekani ili kufaidi matunda ya kuishi na jirani tajiri na mwenye nguvu
If you can't beat them, join them.
Au Lesotho ambayo sasa inajiita Eswatini. Yenyewe imezungukwa na South Africa pande zote kama unavyoona Tanzania halafu Dodoma iwe ni nchi inayojitemea.
Hakuna tofauti hata kidogo. Kilichobadilika na geographical location tu. Vinginevyo Canada mbele ya U. S ni kama Burundi mbele ya Tanzania. Wote ni kama Sungura kulala karibu na tembo, wanafeel mingurumo na mitetemeko ya jirani mwenye nguvu.Umechanganya madesa, Canada ni G7 kaa ukilielewa hili.
Mfano wako ni tofauti na uhalisia tuliongelea sisi.
Kweli nimechanganya, waliobadiri jina ni wa Mbabane na siyo Maseru.Swaziland ndio hiyohiyo Eswatin kwa yule mfalme anaeoa kila mwaka anachagua bikra na lesotho bado wanatumia jina hilohilo
Kwel maana msumbij kuna dhahabu shaz pengne kajiweka pale kwa nia ya kukwapua GoldKagame ana akili na strategic sana unajua kwa nini yupo msumbiji
Dah ngoja nilike[emoji28][emoji28][emoji28] nmecheka sanaUnamuita kagame ndio mwanaume pekee afrika?
nenda akuoe sasa umzalie mtoto mwenye akili kama yeye.