Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam
Nimekua nashangaa sana kila kukicha viongozi wengi wa ccm wanataka mbowe awe mwenyekiti wa chadema wa kudumu. Najiuliza tu huu ni upendo wa dhati au ni mahaba? Je huenda ni kweli zile tetesi kwamba mbowe ni pandikizi la ccm kuidhoofisha chadema ili isishike dola?
Maana kuna kampeni ccm wanapiga chinichini kwamba tundu lissu asikabidhiwe chama eti atakivuruga na kukisambaratisha, inashangaza huu upendo wa ccm kwa chadema kwamba isisambaratike. Hapa nilitegemea ccm wamfanyie kampeni TL ili awe mwenyekiti na akaisambarishe chadema ili wanufaike.
Nimekua nashangaa sana kila kukicha viongozi wengi wa ccm wanataka mbowe awe mwenyekiti wa chadema wa kudumu. Najiuliza tu huu ni upendo wa dhati au ni mahaba? Je huenda ni kweli zile tetesi kwamba mbowe ni pandikizi la ccm kuidhoofisha chadema ili isishike dola?
Maana kuna kampeni ccm wanapiga chinichini kwamba tundu lissu asikabidhiwe chama eti atakivuruga na kukisambaratisha, inashangaza huu upendo wa ccm kwa chadema kwamba isisambaratike. Hapa nilitegemea ccm wamfanyie kampeni TL ili awe mwenyekiti na akaisambarishe chadema ili wanufaike.