Ni kwanini CMG (Clouds FM na Clouds TV) hupenda sana kujipendekeza katika birthdays za Marais nchini tofauti na Media zingine?

Ni kwanini CMG (Clouds FM na Clouds TV) hupenda sana kujipendekeza katika birthdays za Marais nchini tofauti na Media zingine?

Clouds imekuwa ikipondwa na kutupiwa matusi miaka nenda rudi. Hasa hapa JF. Sio media tu, hadi staff wake wamekuwa wahanga wa matusi haya sana. Lakini at the end of the day, clouds remains there to stand. This is a big life lesson.
 
Ben mkapa alikuwa mwamba alikuwa hapendi ujinga ujinga ukijip3ndekeza
Anakupa mikausho mikali,mambo ya upambe sifa sifa tupa kule

Ova
Kwangu Mimi Marais wangu bora na waliokuwa serious kabisa kwa Kazi ( Uongozi ) walikuwa ni Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Mkapa na Hayati Magufuli.
 
Sasa bila kujipendekeza kwa wenye mamlaka na wao ndo wamekupa kibali cha kufanya kazi. Na wanakupa na kazi pia uache kuwasifia uwe kinyume chao waku fungie kisa sifa? Ukipatwa na njala wanaokusifia hamna hata mmoja atalete debe la sembe kwa boma... jikombe ukomboke
 
Sasa bila kujipendekeza kwa wenye mamlaka na wao ndo wamekupa kibali cha kufanya kazi. Na wanakupa na kazi pia uache kuwasifia uwe kinyume chao waku fungie kisa sifa? Ukipatwa na njala wanaokusifia hamna hata mmoja atalete debe la sembe kwa boma... jikombe ukomboke
This is a typical Poverty Mentality.
 
Mm clouds njiapanda ndo kipindi changu tu nikisha sikiliza na kutoa sadaka yangu nazima redio na Huwa nasikiliza kwasimu maana Ata redio sipendelei kusikiliza labda kuwe na tukio maalumu na Niko Mbali na TV
 
Ben mkapa alikuwa mwamba alikuwa hapendi ujinga ujinga ukijip3ndekeza
Anakupa mikausho mikali,mambo ya upambe sifa sifa tupa kule

Ova
Kwani ben kaingia madarakani mwaka gani na clouds ilianzishwa mwaka gani ?

Kwa kipindi cha Ben ,Clouds ilikua bado inajitafuta kitega uchumi pale

Hii birthday za ma rais kila mwaka ni kama content yao na ilianza kipindi cha JK
 
Jamaa wajanja huwa wanaangalia kwanza kaliba ya kiongozi kabla ya kujipendekeza, kipindi kile cha JPM sikuwahi kuona hayo maigizo yao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ingawa JPM aliwaelewa Clouds

Kifupi Clouda ni Media rafiki wa Ccm na Serikali iko katikati ya Uhuru Fm na TBC katika kupoteza wananchi
 
CMG Ni muda mrefu wakijipendekeza kwa watawala kinafiki Mara kwa kikwete ,saamia ,na jiwe wameshindwa tu kijipendekeza kwa mkpa

Hilo la kujipendekeza nimesha liona muda sna hvyo nikaamua kuwapuuza Zaid Sana kipind changu pendwa Cha pb ya masoud ,siza ,fetty ndio natazikiliza
Clouds ilianzishwa kipindi cha Mkapa pale Kitega uchumi,Ilikuwa bado changa sana na haikuwa na vipindi vyovyote vya kisiasa wala habari,wao ilikuwa burudani tu
 
Mkuu si kweli kwamba wanajipendekeza. Hizo ni mbinu za biashara.

Msaidizi binafsi wa mkurugenzi wa CMG. Kusaga anayeitwa spencer minja ni dogo hatari sana kichwani. Mimi huyu ni mdogo wangu na ameshakuwa raisi pale UDSM. kinachofanywa hapo ni biashara pia ku gain nguvu kwenye
serikali, na hizo ni proposal zake pamoja na Andrew.

Hapo ni katika kuendeleza uchumi wa buluu, kutengeneza koneksheni za kujikwamua katika uchumi.

Leo shuguli nzima itaanzia the waves na baadae tunaelekea mbudya. Kama kijana hii si ya kukosa kabisa kwa gharama za kitanzania.

Ulitaka tujue huyo Spencer Minja ndugu yako haya tumejua maana sijaona hata haja ya dogo kuingia hapo.
 
Back
Top Bottom