Ni kwanini hadi sasa Simba haijatangaza kumuaga Chama kwa heshima kama wachezaji wengine?

Ni kwanini hadi sasa Simba haijatangaza kumuaga Chama kwa heshima kama wachezaji wengine?

wastani kwa idadi

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2024
Posts
503
Reaction score
1,432
Wachezaji wengine wanaagwa, kwaninini Chama hadi sasa hajaagwa?

Baada ya kuitumikia timu yetu kwa misimu mitatu, Henock Inonga Baka hatokuwa sehemu ya kikosi cha msimu ujao.
1719866956711.png


Baada ya miaka mitano aliyodumu ndani ya klabu yetu mlinzi wa kati Kennedy Juma hatokuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu mpya baada ya mkataba wake kumalizika.
1719866931273.png


Tumefikia maamuzi ya kutomuongezea Mkataba Kiungo wetu, Luis Miquissone.
1719866905158.png


Baada ya kuwa kwenye kikosi chetu kwa msimu mmoja, Shaban Chilunda hatakuwa sehemu ya timu yetu ya msimu ujao.
1719866882157.png
 
Mchezaji akimaliza mkataba automatically timu imemuaga ni hadi wamtake tena kwa kumuongezea mkataba
Kabisa. Ni kama Morrison Ben hakupewa iyo senkyuu, Tena mara ya kwanza badala ya senkyuu akapelekwa kushtakiwa caf na utopolo wakapigwa za pua
 
Wachezaji wengine wanaagwa, kwaninini Chama hadi sasa hajaagwa?
Kwa kuwa bado hajaamua kuondoka. Kumbuka kuwa ni Yanga ndio imetangaza kumsajili, na wala sio yeye aliyetangaza kuondoka Simba na kusajiliwa kwingine.

1719895143717.png

-----------------------------------------------------
-----------------------------------------------------
1719895364911.png
 
Wachezaji wengine wanaagwa, kwaninini Chama hadi sasa hajaagwa?

Baada ya kuitumikia timu yetu kwa misimu mitatu, Henock Inonga Baka hatokuwa sehemu ya kikosi cha msimu ujao.
View attachment 3031021

Baada ya miaka mitano aliyodumu ndani ya klabu yetu mlinzi wa kati Kennedy Juma hatokuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu mpya baada ya mkataba wake kumalizika.
View attachment 3031020

Tumefikia maamuzi ya kutomuongezea Mkataba Kiungo wetu, Luis Miquissone.
View attachment 3031017

Baada ya kuwa kwenye kikosi chetu kwa msimu mmoja, Shaban Chilunda hatakuwa sehemu ya timu yetu ya msimu ujao.
View attachment 3031016
Wewe inakuhusu nini?
 
Back
Top Bottom