Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Hivi Watanzania wanaelewa mifumo ya uongozi? Kama hawaelewi huko shuleni wanajifunza nini? Kila Jambo hata Mambo madogo ya kifamilia utasikia mtu anamlilia Rais.
Mtu akitembea na mke wa mtu akikamatwa utasikia Mama yetu tusaidie haki itendeke😆
Mtu akinyimwa kitu utasikia anamlilia Rais.
Serikali au Rais haiwezi kushughulika na kila kitu hata Mambo ya kifamilia, mtatuzi wa mwanzo wa changamoto niwewe mwenyewe, Watanzania pelekeni hoja nzito kwa Raisi sio kila Jambo mnasema mama mama
Mtu akitembea na mke wa mtu akikamatwa utasikia Mama yetu tusaidie haki itendeke😆
Mtu akinyimwa kitu utasikia anamlilia Rais.
Serikali au Rais haiwezi kushughulika na kila kitu hata Mambo ya kifamilia, mtatuzi wa mwanzo wa changamoto niwewe mwenyewe, Watanzania pelekeni hoja nzito kwa Raisi sio kila Jambo mnasema mama mama