Ni kwanini kila mzigo anapewa Rais?

Ni kwanini kila mzigo anapewa Rais?

Kama kila pesa tunaambiwa katoa Rais wakati ni Kodi zetu,kwanini tusimpelekee matatizo yetu!
#Mida ya kubweka
 
Mbona sifa mnataka apewe kila mda kwenye event moko jina itatajwa mara 400.

Ni majukumu yake kama hataki aachie wengine
 
We
Hivi Watanzania wanaelewa mifumo ya uongozi? Kama hawaelewi huko shuleni wanajifunza nini? Kila Jambo hata Mambo madogo ya kifamilia utasikia mtu anamlilia Rais.

Mtu akitembea na mke wa mtu akikamatwa utasikia Mama yetu tusaidie haki itendeke😆
Mtu akinyimwa kitu utasikia anamlilia Rais.

Serikali au Rais haiwezi kushughulika na kila kitu hata Mambo ya kifamilia, mtatuzi wa mwanzo wa changamoto niwewe mwenyewe, Watanzania pelekeni hoja nzito kwa Raisi sio kila Jambo mnasema mama mama
We kweli kidagaa asa ulitka tukupe wewe na kampeni bado zinafanyika aendelee huko kizimkazi
 
Hadi waganga wa kienyeji wanataka kauli ya rais 🤔🤔
Sema kuna sehemu makosa yamefanyika sijui nani ataweza kunyoosha turudi kwenye mfumo uliozoeleka.
 
Back
Top Bottom