Ni kwanini kila mzigo anapewa Rais?

Kama kila pesa tunaambiwa katoa Rais wakati ni Kodi zetu,kwanini tusimpelekee matatizo yetu!
#Mida ya kubweka
 
Mbona sifa mnataka apewe kila mda kwenye event moko jina itatajwa mara 400.

Ni majukumu yake kama hataki aachie wengine
 
We
We kweli kidagaa asa ulitka tukupe wewe na kampeni bado zinafanyika aendelee huko kizimkazi
 
Hadi waganga wa kienyeji wanataka kauli ya rais 🤔🤔
Sema kuna sehemu makosa yamefanyika sijui nani ataweza kunyoosha turudi kwenye mfumo uliozoeleka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…