Ni kwanini kiswahili cha Mtwara kiko tofauti na kiswahili cha kawaida?

Ni kwanini kiswahili cha Mtwara kiko tofauti na kiswahili cha kawaida?

Hiyo ni lafudhi ya kabila lao hapo hakuna kigeni kila kona kuna tatizo LA matamshi
 
Hujaona maajabu ya lafudhi ya wasukuma bado.
 
Lugha mama huathiri matamshi ya lugha nyingine
Kiswahili cha wanyamwezi, wasukuma na makibila mfanano na hayo ni tofauti
Cha kusini tofauti
Kaskazini nako ni tofauti
Na makabila mengine mengi lafudhi yao ya kiswahili ni tofauti..

Hata mzungu akija akijua kiswahili nae kitakuwa tofauti pia..

Lugha mama inaathiri.
 
Heshima zenu wadau zangu,

Kwa sasa nipo mkoani Mtwara ila kinachonishangaza katika huu mkoa.

Ni aina ya lugha ya kiswahili kiko tofauti ninachokijuaa yaani wakati sisi tunapaita Mtwara wao wanaita Ntwara, mtu wao wanasema 'ntuu'.

Sikubali wao ni 'chikubali' au sielewi wao wanasema 'chielewi' hayo ni baadhi ya maneno ninavyowasikia wenyeji wangu wakiongea ila kubwa ni kwanimi kiswahili chao kipo tofauti na kile cha kawaida?.
sometyme ni aibu kubwa kuona watu hujaribu kutumia hoja mfu kama hizo kudevaluate na kugrorify lugha fulani.. matumizi ya chi kwenye ki na n kwenye m ni jambo la kwaida sana.. cha kukuongezeA Tu hiyo ndo unique ya kiswahili cha mtwara na tunatumia kama identity katika jamii zingine.. mbona huhoji kiswahili cha lubumbashi. kenya?? au bado uko karne ya 14 kuamin watu fulani na lugha fulani wako sahihi.. ni ushamba.. haya nenda kachukue buku saba yako tumeona
 
Heshima zenu wadau zangu,

Kwa sasa nipo mkoani Mtwara ila kinachonishangaza katika huu mkoa.

Ni aina ya lugha ya kiswahili kiko tofauti ninachokijuaa yaani wakati sisi tunapaita Mtwara wao wanaita Ntwara, mtu wao wanasema 'ntuu'.

Sikubali wao ni 'chikubali' au sielewi wao wanasema 'chielewi' hayo ni baadhi ya maneno ninavyowasikia wenyeji wangu wakiongea ila kubwa ni kwanimi kiswahili chao kipo tofauti na kile cha kawaida?.
inategemeana MKUU km MTU hajaenda shule kuna uwezekano huo lakn kwa hlo LPO kla mkoa
 
Kiswahili cha kanda ya ziwa:
Mtu = mutu,
Mti=Muti,
Amekosa=amekoswa,
Amepita= amepitamo,
Amekula = amekura,
 
Umeanza vizuri.....umemalizia kwa Kuweka siasa kwani mtu kuwa na rafudhi yakwao ni tatizo kweli? hata uingereza kila jimbo wakiongea English utajua tu kama ni mscotish Irish au Wales.....hao nao wa na CCM ? BBC na CNN wote wanatangaza kiingereza lkn rafudhi ni tofouti kabisa..... pia ni mchango wa CCM. nyie mfikie mahara muache siasa za kukalilishwa mnatubowa sana cc ambo hatushambikie siasa za vyama
Lafudhi sio rafudhi
 
Tatizo lipo kwako mtoa Uzi, Hukutembea mikoa mbalimbali, Mwanza nao wana kiswahili chao, Arusha,Dar, Sumbawanga,Mbeya,Musssoma,Tanga, nk.,, Kiujumla tembea Uyaone Na ujifunze mengi, Singida pia Hali kadhalika. Hii imetokana na matabaka ya Makabila yalioko Nchini, Pia kumbuka tatizo Kubwa zaidi lililo Pelekea watu kuwa na viswahili visivyo fanana, kumechangiwa sana na Kutopatiwa Elim mapema, watz walidumu ktk Lugha zao za Asili, Hili tatizo pia serekali ya ccm inapaswa kulaumia sana Kw kuwanyima watz Elim tangu mapema, Hivyo taifa limekuwa na watu wasiejuwa kiswahili ,,
nakuunga mkono MKUU katika hili coz nakumbuka nko CHUO fulan hapahapa mtwara watu walikua hawanijui km n mmakonde mpaka stafu walikua hawaamn km ni mmakonde na wala ckakulia mkoa tofaut na mtwara walikuja kuamin nlipowadhihirishiavkwa kuongea kimakonde
 
Bora hapo ulipo ukienda maeneo ya masasi sasa yaani utacheka balaa!! Mie siku za kwanza nilikuwa nashangaa kweli ila nilivyowazoea nikawaona wa kawaida
 
Back
Top Bottom