GANJIBHAAI
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 456
- 1,352
- Thread starter
-
- #21
Noma! Mtaa wa Salamander nao pia uko kwny historia! Japokuwa sijawahi kuhang out maeneo hayo.Ninapotumia Mbowe Hotels namaanisha kitambo bro
Wengi hawajui Macheni rip alikuwa Kondakta wa Mabasi ya TRC ππ
Nyakati zetu Watemi walikuwa wanavuta Bangi sanaDah Mungu mkubwa! Kuacha drugs si jambo jepesi!Hongera sana nawe pia ndg yangu umeweza.ππΎ! God Bless You!.
Salamander ilikuwa kona kuu ya WasaniiNoma! Mtaa wa Salamander nao pia uko kwny historia! Japokuwa sijawahi kuhang out maeneo hayo.
Zamani utemi ilikuwa sehemu ya maisha na ndo maana kulikuwa na ugomvi wa mashule kwa mashule battle nje nje achia mbali utemi wa form kwa form, form 2 ndo darasa korofi kabisa! Sishangai. Kuzimisha disco ndo mchongo!Nyakati zetu Watemi walikuwa wanavuta Bangi sana
Pale Iringa palikuwepo family ya akina Taurati, Cool Nine, Shedad jamaa walikuwa Watemi sana
Ukija Dar unawakuta tena na basi lao la Simba Luwala, jamaa walitesa sana
HahahaHahahaa no hard feelings jamii forums kaka!umeweza kunitrigger!
Ibraa nimehang nae sana Tabata Chaβngombe miaka flani,alikuwa anakuja kula dawa kwa bro wangu mmoja alikuwa Sadali(pusha)Asante sana kaka! Safi sana ntajiunga kupata mambo ya zamani kuna raha yake kwa sasa tumekuwa washua. Kuna post yako nimeipenda ile ya mabroo! RIP Langa alikuwa mwanangu sana, Da Hustler pia tumehang out pamoja mara nyingi sana ila miaka imepita hatujaonana sina uhakika yupo Kenya au TZ.
Noma sana kakaIbraa nimehang nae sana Tabata Chaβngombe miaka flani,alikuwa anakuja kula dawa kwa bro wangu mmoja alikuwa Sadali(pusha)
Nafasi yako nzuri serikalini ndo inakufanya uite watu machoko??Hatuhangaikagi na washamba kama nyie!Huna tofauti na machoko wengine hapa mjini Hip Hop is Knowledge if you know you know kama hujui hujui tu!Hip hop inachagua waamini wake kwa bahati mbaya wewe si mmoja wao. Kwa taarifa yako tu nina nafasi nzuri tu kwenye hii serikali na wanaimani kubwa na mimi kwa kile ninacho-deliver! Sidhani kama wewe umekulia mjini na umestaarabika kwa kuwa judgemental! Pole sana
Sema nyie machawa wa CCM ni wa ovyo kama wahaya wa Tandika na Mwananyamala kisiwani.Asikudanganye mtu Shule za Muziki wa kizazi kipya ilikuwa Mbowe Hotel, YMCA na Maggot
Watu walijifunza practically [emoji23][emoji23]
Baadae Mzee Mengi wa ITV alisaidia sana kupitia Djs wake
Lakini Bonny Love, Master J na Majani wamo kwenye historia
Ila Baba Lao ni Freeman Mbowe hadi bush star mmoja akaivunja ile Mbowe hotel iliyoboreshwa na Kuwa Billicanas [emoji23][emoji23]
Kbs nafikiri baadae alijikita kwny maswala ya elimu ya juu kama mwalimuMisanya bingi Kwa kuongea ni noma
Ukiingia kwny mfumo unakula chuma tu!mimi na mshkaji tumeyamaliza wewe ni nani tena unakuja kuhoji?!Jitahidi ku-manage stress! Kwa kifupi una shobo dundo.Utaliwa.Nafasi yako nzuri serikalini ndo inakufanya uite watu machoko??
Bush star tena? Si alikuaga mungu wako na washamba wenzio?Asikudanganye mtu Shule za Muziki wa kizazi kipya ilikuwa Mbowe Hotel, YMCA na Maggot
Watu walijifunza practically [emoji23][emoji23]
Baadae Mzee Mengi wa ITV alisaidia sana kupitia Djs wake
Lakini Bonny Love, Master J na Majani wamo kwenye historia
Ila Baba Lao ni Freeman Mbowe hadi bush star mmoja akaivunja ile Mbowe hotel iliyoboreshwa na Kuwa Billicanas [emoji23][emoji23]
Wewe siyo Mshamba?!Bush star tena? Si alikuaga mungu wako na washamba wenzio?